Mwanaume wa mkoani mwenye haja ya mtoto

Bado unaendelea tu kuchagua, my sister utakosa hata huyo wa kukupa mtoto. Umechangua sana enzi za uajana wako wako sasa hivi jua limezama bado hujaolewa umeshusha viwango lakini suala la ubaguzi bado unalo. Think.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wivuuu huo, sasa mbona suala la sisi wanaume wa mikoani kupewa fursa limekuuma sana ???


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Kama chance Bado zipo tutaarifiane,hata Mimi ni wa mkoani
 
ImeldaB kuna uzi upo humu jamii forum kuna mtu anakutafuta balaaa,anasema alikupa cm no yake embu mtafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…