Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeolew na shogaKwahiyo hawa wanaotuomba tuwapake hadi mgongoni wana papuchi au?😏
Hayo ni mawazo ya mleta mada ila watu hatupaki mafuta kwa sababu zingine zozote zaidi ya kuulinda mwili a good skin care inahitajikaKwahiyo hawa wanaotuomba tuwapake hadi mgongoni wana papuchi au?😏
Kikubwa ananipiga miti hadi narusha maji. Sasa wewe endelea kutokutunza ngozi yako kwa kigezo kwamba itakufanya kuwa mwanaume rijali. Shoga ni shoga tuUmeolew na shoga
Tujaribu ambao hatupaki mafuta utarusha zaid ya ayo maji aminiKikubwa ananipiga miti hadi narusha maji. Sasa wewe endelea kutokutunza ngozi yako kwa kigezo kwamba itakufanya kuwa mwanaume rijali. Shoga ni shoga tu
He..! Ina maana kuna wanaume hua wanajipaka mafuta..?🙊Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
Wanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali. Unakuta mwanaume makalio yamepauka kama ya fisi😂😂na bado ni shoga.Hayo ni mawazo ya mleta mada ila watu hatupaki mafuta kwa sababu zingine zozote zaidi ya kuulinda mwili a good skin care inahitajika
Nimeweka na mawazo ya wataalamu mbali na ramli View attachment 2953832
Je wale (Wanaume) wasiopaka kabisa mafuta wapo kundi gani?Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
Woooii mtu ngozi imekakamaa kama ya mamba aliyekufa ikinigusa tu hata utelezi hautoki licha ya kurusha maji.Tujaribu ambao hatupaki mafuta utarusha zaid ya ayo maji amini
🤣🤣Pia unakula ugali kwanza, halafu ukihisi hujashiba unakazia na maji, kisha ndo unashushia mboga kidogo.
Hahah acha uboya dogoWanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali. Unakuta mwanaume makalio yamepauka kama ya fisi😂😂na bado ni shoga.
Bora ajipakae polish ielewekemwanaume unajipaka mafuta ili iweje
Hahahaha hadi unaweza fua umeme kabisa .Kikubwa ananipiga miti hadi narusha maji. Sasa wewe endelea kutokutunza ngozi yako kwa kigezo kwamba itakufanya kuwa mwanaume rijali. Shoga ni shoga tu
Hoja ni kupaka mafuta (au kutopaka mafuta), baada ya kuoga na tayari kutoka either kwenda kazini au kwenye mishe zingine, Hili swala la uchafu linaingia vipi?Wanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali.