Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Siku ukija kunjwa na sisi maniga utakuja kufuta kauli zako humu na kunishukuruWoooii mtu ngozi imekakamaa kama ya mamba aliyekufa ikinigusa tu hata utelezi hautoki licha ya kurusha maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukija kunjwa na sisi maniga utakuja kufuta kauli zako humu na kunishukuruWoooii mtu ngozi imekakamaa kama ya mamba aliyekufa ikinigusa tu hata utelezi hautoki licha ya kurusha maji.
Kupaka mafuta baada ya kuvaa nguo hakukufanyi uonekane rijali na kwa upande wangu nautafsiri kuwa ni umasikini wa akili.Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
Nakwambia tena, si tunaona wanavaa kata K wakiinama , uwiiiii matako kama yamepakwa majivu vileHahah acha uboya dogo
Kikubwa ananipiga miti hadi narusha maji. Sasa wewe endelea kutokutunza ngozi yako kwa kigezo kwamba itakufanya kuwa mwanaume rijali. Shoga ni shoga tu
Ewaaaaaahhhh🔥Hahahaha hadi unaweza fua umeme kabisa .
Nimeongezea mbele na kutokujijali. And yes kutokujipaka mafuta panakufanya uwe mchafu mchafuHoja ni kupaka mafuta (au kutopaka mafuta), baada ya kuoga na tayari kutoka either kwenda kazini au kwenye mishe zingine, Hili swala la uchafu linaingia vipi?
Swali: Hivi kujipaka mafuta mwili mzima, na joto lote la Dar, ni sehemu ya kujijari? , Maana Hata wale wa Njombe, Makambako kwenye baridi huwa hawapaki mafuta mwili mzima, inakuwaje hapo?.Mie nampenda mwanaume ajijali apake mafuta mwili mzima na avae vyema anukie apendezee
Aaahhh weeSiku ukija kunjwa na sisi maniga utakuja kufuta kauli zako humu na kunishukuru
Si ndio😂😂kama bomba... wewe ni mgodi... kuna maelfu ya wanawake awajijui kuwa wanaweza kurusha maji...!
wengi huwa wanajibana bana... ila hiyo ni sanaa kama sanaa nyingine ni wanaume wachache sana tunajua kuwamwaga maji...🤣🤣🤣
wanawake wote wanamwaga maji wakipata mwagaji🤩
Zamani ukiingia kwenye bus utafikiri umeingia kwenye zizi la Beberu watupuWanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali. Unakuta mwanaume makalio yamepauka kama ya fisi😂😂na bado ni shoga.
Unapaka vaseline men lotion ung'ae hivo mapenzi kweli mnafanyaje mpo wengi hivi dar mnajazaje dunia na nijoto hamu mnaitoa wapi if i may ask arusha always ni wastani kuna kaupepoSwali: Hivi kujipaka mafuta mwili mzima, na joto lote la Dar, ni sehemu ya kujijari? , Maana Hata wale wa Njombe, Makambako kwenye baridi huwa hawapaki mafuta mwili mzima, inakuwaje hapo?.
Co uchafu tunazungumzia kupaka mafutaZamani ukiingia kwenye bus utafikiri umeingia kwenye zizi la Beberu watupu
Ila siku hizi kidogo harufu ya kikwapa imepungua sana
Wengine wanaamini kabisa kuwa mwanaume lazima anuke daaa
Sasa hapa ni mtu aseme labda hapaki mafuta kwa sababu ya joto inaeleweka. Au hapaki mafuta kwa sababu ngozi yake ina mafuta nk. Hiyo inaeleweka.Swali: Hivi kujipaka mafuta mwili mzima, na joto lote la Dar, ni sehemu ya kujijari? , Maana Hata wale wa Njombe, Makambako kwenye baridi huwa hawapaki mafuta mwili mzima, inakuwaje hapo?.