[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali. Unakuta mwanaume makalio yamepauka kama ya fisi[emoji23][emoji23]na bado ni shoga.
We dada wee,tafadhali bana.Nilishawahi pata wa hivyoo trako gumu kama manati ya kufungia mashine yakusaga , miguu imekomaa utasema fito zakujengea banda ya ng'ombe akikuegemea utasema machuma ya kujengea daraja😒🤣🤣🤣🤣 Morning_star
HahahaKwahiyo hawa wanaotuomba tuwapake hadi mgongoni wana papuchi au?😏
HahahaMie nampenda mwanaume ajijali apake mafuta mwili mzima na avae vyema anukie apendezee , apende kupiga kazi na vyakula vyote ale vya kitandani na vya mezani sasa kaa hapo jifanye chizi nani akutake umejikwaa tu unga unatoka
Ha ha ha ha dahWanadhani kuwa mchafu mchafu na kuto kujijali ndio panamfanya mtu kuwa rijali. Unakuta mwanaume makalio yamepauka kama ya fisi[emoji23][emoji23]na bado ni shoga.
Hakuna mwanaume hapo. Walishaleft group muda hao. Eti mwanaume anapakwa mafuta mgongoni na wengine wanataka wapakwe mafuta kwenye makalio yao.Kwahiyo hawa wanaotuomba tuwapake hadi mgongoni wana papuchi au?😏