Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

Hizi ndo sababu zinazopelekea wanaume wengi kutokuwa na mahusiano serious na wadada angalia huu ujinga hapa
Ila elewa tu hata huyo unayemuona bira kwa sasa kuna muda na ww atakuona kama takataka tu
Mvumilie mdau mambo hubadirika tu tambua hilo na hawezi kuwa hivyo alivyo sasa siku zote
Kwanza huyo mwanaume Hana akili
Eti unaacha kulipa ada kwanza kisa k
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
So ulimpendea helaa...wanawake bwana...unaeza kuta wewe ndo unamletea mikosi...mwache apate mwanamke anaempenda kwa dhati ampate na nyota yake itarudi...Mungu anajaribu kumwonyesha hali halisi iliyombele yake before it's too late
 
Haumpendi, mwache tu dili na huyu ambae mme crush. Mchizi ataumia kisha ataipata njia yake hata ikichukua muda. Sasa hivi utamvuruga kichwa tu azidi kupoteza. Sio poa unachomfanyia mwana, mhuhurumie ni boya.Lakini ana majukumu mtoto na ndugu zake.

Nasisitiza muache mchizi, shetani anakutumia vibaya kumuangamiza. Yani akikugusa unaona kinyaa.

Mwisho naanza kukubaliana kiasi fulani na rafiki yangu mmoja kuwa katika mahusiano mwanamke ni mwanamke tu hata awe professa katika mahusiano tabia yake haitofautiani na Chiku wa uswazi 😀
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Eeeeeeeeeh still unamuita ur man wakati hisia hazipo 😔😹😹
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Kiufupi jamaa amekosea kuweka kambi kwako maana wee unafanana na wale wa gusa achia

Yaan mtu akikupiga mara Moja anatakiwa kupotea sababu huna sifa za mwanamke ambaye unatakiwa kuishi na mtu au mume akili Yako bado haijatulia
 
Kiufupi jamaa amekosea kuweka kambi kwako maana wee unafanana na wale wa gusa achia

Yaan mtu akikupiga mara Moja anatakiwa kupotea sababu huna sifa za mwanamke ambaye unatakiwa kuishi na mtu au mume akili Yako bado haijatulia
Keshajipata valentine wame enjoy mzabzab
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Kanye west ft jamie foxx - gold digger
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Najua umejaibu kuficha ukweli, ila wewe sema tu ukweli,huyo just a friedn tayari ameshakukula na mko kwenye pesnzi,ila umejaribu kutupa scernario rahisi ili upate maoni na kumtambulisha rasmi kwa mpenzi wako aliyefulia. Kila siku tunaaambia wanaume husiinvest kwa malaya,wao penzi ni equivalent na pesaa,versaly proportion, no meoney no penzi, much money more penzi. Itabidi harudi kuinvest at least kwenye familia yake.Yaani ameacha kulipia karo mtoto ili alipie rent malaya mchepuko. Majuto ni mjukuu. Na wewe binti sasa unataka tukupe ushauri upi wakati umeshafanya maamuzi na umeshaanza kukulana na huyo best friend. Waanaume hata biblia ilisema muhishi nao kwa akili
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Kama ni Mtanzania siyo kosa lake, Nchi yote imefirisika
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Mpe yas, mambo yatakaa sawa
 
Kuna watu wakiwa roho mbaya na kutokuwa na huruma hususani kwenye mapenzi tunatakiwa kuwaelewa.....

Imagine huyu ndo future waifu wako...

We Zombie 🎶
 
Back
Top Bottom