yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Ko shida ni pesa??si uende kwa huyo crush??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Mwanaume pata pesa uijue tabia YAKO. Kosa pesa uijue tabia ya MKEO 📌
Heri ya mwaka mpya wee mdada?😊
Sahii kabisa mkuu, Kila kukicha wanajichukulia point 3Wanawake wapo kwa mwanaume kwa maslahi
Mambo yakiyumba mwanaume unaachwa
Kataa Ndoa wana point sana
Ni vita kali mno 😎Kazi ipo kwa wanaume sisi, tujipe upendo kwanza kabla ya kufikiria hawa viumbe so called women aloo
Ndo jambo kubwa nililojifunza kwambà kàma huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
😁😁😁😁 Ngoja nikaushe mana kashanikanya daahUnamficha wa nini? Mtaje mkuu
Madam leee acha bana hvi kwanini watu mnapenda mfarakano humu 😁😁😁😁Na kwanini unatusubirisha
Utatokea mfarakano hapaTaja
ChaiMy man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Sema kwani utatekwa!Utatokea mfarakano hapa
Huoni Mwandiko wa Kike huo!?Hii chai tu..anataka kustua watu huyu
Wee jamaa jau kumbe .Sema kwani utatekwa!
Acha wogaWee jamaa jau kumbe .
😁😁😁😁
You just drop Him... And you drop him Faster.My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Ngoja aje Vishu MtataAcha woga