Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
SanaWanaume tuna huruma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaWanaume tuna huruma sana
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Sawa, siku malaya amkamue mumeo usije kulia lia humuAcha mkaka amwage Hela maana zinatafutwa
HahahaSawa, siku malaya amkamue mumeo usije kulia lia humu
Sema tu ulikuwa unamuuzia uchi. Hapakuwa na mahusiano hapo.My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Labda kama na wewe ni kausha damu wale wale.Hahaha
Point Yako kukemea umalaya?!
Wafeminia fake tu ,mfeminia hapendi kitonga 🤣Hivi hakuna Wafeminia humu? 😂😂
Mfupi kama nini?
HapanaLabda kama na wewe ni kausha damu wale wale.
Mke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyeweMy man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Kitoto cha buku mbiliMy man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Either unakuwa fala au umelogwa, hakuna namna zaidi ya hapo. Na kwa maelezo yaliyotolewa nadhani huyu sio mke wake. Atakaemuacha mwenzake anakuwa kamsaidia mwenzake. Mwanaume ataumia ila atakuwa hayuko katika penzi la kugeuzwa kichumio, na mwanamke atapata ambaye wanaweza kwenda sawa.Yaani nisilipe ada ya mwanangu halafu nilipe kodi ya mwanamke?!🤣🤣 duh!
Kazi ipo kwa wanaume sisi, tujipe upendo kwanza kabla ya kufikiria hawa viumbe so called women alooMwanaume pata pesa uijue tabia YAKO. Kosa pesa uijue tabia ya MKEO 📌
B***hMy man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.
Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.
Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.
Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?
Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
TajaNimtaje au nisimtaje 😁😁😁😁
Mwenye hii ID
Well said...Either unakuwa fala au umelogwa, hakuna namna zaidi ya hapo. Na kwa maelezo yaliyotolewa nadhani huyu sio mke wake. Atakaemuacha mwenzake anakuwa kamsaidia mwenzake. Mwanaume ataumia ila atakuwa hayuko katika penzi la kugeuzwa kichumio, na mwanamke atapata ambaye wanaweza kwenda sawa.
Ila huyu mwanamke nadhani angejikita tu katika "biashara" au sijui "friends with benefit"kuliko kumzingua mchizi. So jamaa pia alikuwa ana finance upuuzi, sasa mambo yameyumba. Hela alizokuwa analipa rent na bata angekuwa kafanyia investment huenda angekuwa na nafuu au namna ya kuvuka wakati mgumu.