Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.

Mwandiko wa mwanaume huu
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Sema tu ulikuwa unamuuzia uchi. Hapakuwa na mahusiano hapo.
 
Kama wanavyosemaga wadau, kama wadau wamekosea kwamba hii sio chai basi this is another wasted sperm.
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Mke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
Kitoto cha buku mbili
 
Kwa mwendo huu kuliko kuwa mahusiano ni heri kujinunulia dada poa.
 
Yaani nisilipe ada ya mwanangu halafu nilipe kodi ya mwanamke?!🤣🤣 duh!
Either unakuwa fala au umelogwa, hakuna namna zaidi ya hapo. Na kwa maelezo yaliyotolewa nadhani huyu sio mke wake. Atakaemuacha mwenzake anakuwa kamsaidia mwenzake. Mwanaume ataumia ila atakuwa hayuko katika penzi la kugeuzwa kichumio, na mwanamke atapata ambaye wanaweza kwenda sawa.

Ila huyu mwanamke nadhani angejikita tu katika "biashara" au sijui "friends with benefit"kuliko kumzingua mchizi. So jamaa pia alikuwa ana finance upuuzi, sasa mambo yameyumba. Hela alizokuwa analipa rent na bata angekuwa kafanyia investment huenda angekuwa na nafuu au namna ya kuvuka wakati mgumu.
 
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.

Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.

Sasa Naona mapenzi kwake yameanza kuisha Yani hadi akinishika huwa najiskia kama kinyaa na hisia hata za sex zimeniishia ila najilazimisha tu, though namuonea huruma kumuacha maana alinililia while he was saying nimvumilie tu kipindi hiki mambo yatakua Sawa tu kuanzia huu mwaka , Ila am tired yoh 😩.

Yani maana last rent ilibidi asimlipie kwanza school fees mwanae anilipie mimi rent kwanza maana nilikua nimenuna sana.

Sasa shida mimi nina best friend wangu wa kiume and I have a crush on him. So ikawa inatokea nikiongea na my man namtaja sana jina lake Sasa aka end up kumjua.

Nikamwambia he is just a friend ila haamini. Sasa sijui nimwambie tu ukweli Au nimvumilie?

Yani Sijui nifanyaje maana hata nikiongeaga nae am not romantic najibu ovyo.
B***h
 
Either unakuwa fala au umelogwa, hakuna namna zaidi ya hapo. Na kwa maelezo yaliyotolewa nadhani huyu sio mke wake. Atakaemuacha mwenzake anakuwa kamsaidia mwenzake. Mwanaume ataumia ila atakuwa hayuko katika penzi la kugeuzwa kichumio, na mwanamke atapata ambaye wanaweza kwenda sawa.

Ila huyu mwanamke nadhani angejikita tu katika "biashara" au sijui "friends with benefit"kuliko kumzingua mchizi. So jamaa pia alikuwa ana finance upuuzi, sasa mambo yameyumba. Hela alizokuwa analipa rent na bata angekuwa kafanyia investment huenda angekuwa na nafuu au namna ya kuvuka wakati mgumu.
Well said...
 
Sio mtabiri, sijawahi kuishenyenta, kuiona, kuinusa wala kuigusa ila nina hakika iko hivi 👇👇
Cc Poor Brain
IMG-20241214-WA0023.jpg
 
Back
Top Bottom