Mwanaume: Weka Ndoa yako pembeni halafu itazame upya

Mwanaume: Weka Ndoa yako pembeni halafu itazame upya

Wazee wenzangu wakulugwa tumepigwa saana.... Wasalaam?!

Nikiri nilikua na ndoa swafiii, ila sasa imeota mbaya kwakua mwenzangu alinogewa na show ya nje nkaona sio shida nkamwambia ahamie kabisa japo niliumia.

Sasa naishi kisela kijana wa watu mwanzo niliwahi majuku kabla miaka hata 30 nshaoa.

Sasa siunajua nshazoe kula mzigo karibia daily,now ni tofauti basi mawindo ya hapa na pale kumpata wa kuzuganae ndio nakutana na vimbembe vinavyonifanya nisitamani tena kurudi kwenye ndoa na mtu yeyote yule daah...

Yaani unakutana na mwanamke anakudanganya hana mume kumbe uwongo unakuja kugundua anakuambia mambo ya ndoa yaKe hayanihusu hivyo nimlakue niwezavyo tena kwa gharama zake...

Aiseeh ni wengi mpaka najiona nna mkosi gani au X wangu kanirogezea nuksi ya wake za watu???
uzuri wenyewe huo mtego nikigundua lazima nchumoke hata kama ni mzuri na unapesa kiasi gani maana binafsi nilitendewa ivo ivo na kwakweli nahsmeshimu ndoa naheshimu familia iyo dhambi siitaki kabisaaa.

Sa najiuliza hawa wanawake ambao kwenye uchumba wanalilia saana ndoa ndo ichi wanacholialia kukifanya??

Aiseeeh wanaume wenzangu hasa niliowaacha bado mpo kwenye ndoa hali ni mbaya yaani mtaani wake za watu ni wengi kuliko wanafunzi, iwe mtaani,club,bar,viwanja na kila mahali wanagawa tuu kana kwamba hawaishi na wanaume.

Kwasasa napambana na kilimo.. #MkulimawaDaslam

View attachment 2053959

View attachment 2053961

Mnazalilisha Sana wanawake maneno yasiyo na ukweli! Hiyo Ni class ya chini Sana ya wanawake!
 
Mnazalilisha Sana wanawake maneno yasiyo na ukweli! Hiyo Ni class ya chini Sana ya wanawake!
we tulia uongo gani unaona hapo?? uliza mkeo kama hatokuambia ka unachapiwa na wewe!! hivi viumbe nivile ni mama zetu
 
we tulia uongo gani unaona hapo?? uliza mkeo kama hatokuambia ka unachapiwa na wewe!! hivi viumbe nivile ni mama zetu

Unaongea ujinga; Kwa aina ya uandishi wako na classy, may be! Mimi ninakaa street ambayo hata mke wa Jirani kumwona Ni changamoto!

Sasa hawa wakufuate mpuuzi Kama wewe mpaka wakupe hela wana kutaka nini? Hii Ni dhana tu ya Kipumbavu isiyo Na uhalisia wowote!
 
Wazee wenzangu wakulugwa tumepigwa saana.... Wasalaam?!

Nikiri nilikua na ndoa swafiii, ila sasa imeota mbaya kwakua mwenzangu alinogewa na show ya nje nkaona sio shida nkamwambia ahamie kabisa japo niliumia.

Sasa naishi kisela kijana wa watu mwanzo niliwahi majuku kabla miaka hata 30 nshaoa.

Sasa siunajua nshazoe kula mzigo karibia daily,now ni tofauti basi mawindo ya hapa na pale kumpata wa kuzuganae ndio nakutana na vimbembe vinavyonifanya nisitamani tena kurudi kwenye ndoa na mtu yeyote yule daah...

Yaani unakutana na mwanamke anakudanganya hana mume kumbe uwongo unakuja kugundua anakuambia mambo ya ndoa yaKe hayanihusu hivyo nimlakue niwezavyo tena kwa gharama zake...

Aiseeh ni wengi mpaka najiona nna mkosi gani au X wangu kanirogezea nuksi ya wake za watu???
uzuri wenyewe huo mtego nikigundua lazima nchumoke hata kama ni mzuri na unapesa kiasi gani maana binafsi nilitendewa ivo ivo na kwakweli nahsmeshimu ndoa naheshimu familia iyo dhambi siitaki kabisaaa.

Sa najiuliza hawa wanawake ambao kwenye uchumba wanalilia saana ndoa ndo ichi wanacholialia kukifanya??

Aiseeeh wanaume wenzangu hasa niliowaacha bado mpo kwenye ndoa hali ni mbaya yaani mtaani wake za watu ni wengi kuliko wanafunzi, iwe mtaani,club,bar,viwanja na kila mahali wanagawa tuu kana kwamba hawaishi na wanaume.

Kwasasa napambana na kilimo.. #MkulimawaDaslam

View attachment 2053959

View attachment 2053961
Unalima na jeans🙌🙌🙌upo vizuri
 
Wazee wenzangu wakulugwa tumepigwa saana.... Wasalaam?!

Nikiri nilikua na ndoa swafiii, ila sasa imeota mbaya kwakua mwenzangu alinogewa na show ya nje nkaona sio shida nkamwambia ahamie kabisa japo niliumia.
yaan n kwamba alichepuka kisha akakuambia, mmnh! Na ww ukamuambia kama umenogewa unaweza kwenda kwa jamaaa🤔🤔.

hiz ndoa zenu za sku hiz znashtua , asee!
 
Mkuu upo sahihi, kupita na mke wa mtu sio vizuri, hata mimi huwa roho inaniuma kuona mwanaume mwenzangu anachapiwa mke wake, Daaaaaah,
 
yaan n kwamba alichepuka kisha akakuambia, mmnh! Na ww ukamuambia kama umenogewa unaweza kwenda kwa jamaaa🤔🤔.

hiz ndoa zenu za sku hiz znashtua , asee!
Unadhani kirahisi ivo?? Mzee nimemaanisha nikamuacha
 
Mkuu upo sahihi, kupita na mke wa mtu sio vizuri, hata mimi huwa roho inaniuma kuona mwanaume mwenzangu anachapiwa mke wake, Daaaaaah,
Kuna wanaojifanya vidume wanadhani wenyewe hawatooa
 
Unaongea ujinga; Kwa aina ya uandishi wako na classy, may be! Mimi ninakaa street ambayo hata mke wa Jirani kumwona Ni changamoto!

Sasa hawa wakufuate mpuuzi Kama wewe mpaka wakupe hela wana kutaka nini? Hii Ni dhana tu ya Kipumbavu isiyo Na uhalisia wowote!
Blo hunitii hata hasira ni vile umechelewa kuja mjini...
yaani unadhani wenye maget makubwa hawagongewi wake zao ennhh sa ka unageti unawexakuta mlizi wako anampakua mkeo
 
Back
Top Bottom