mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Bado ni masikini Sasa utahonga nn kinachokusumbua ni umasikini sio kwamba si mtoaji utakula pisi ila siyo wanapokojolea wenzako wenye pesa....tafuta pesa mkuu
Ukisoma comments utagundua ni Wanaume wachache sana wanambato bila kuhonga.Ile mentality ya wanaume tumeumbwa kuteseka itawaua.Fikiria unatongoza pisi,unaihonga mpaka ikubali,then unaipeleka Dina,then unatafuta loji,unasimamia kucha Ili demu akojoe then unampa pole na nauli juu!????As long as I remember sijawahi toa shingi kumi Kwa manzi na ninawala kama kawa.Wanaweza wasiwe kina Wema sepetu ila ni pisi quality tu zenye Tako and everything.Niishie hapo.
Sema vijana hawaelewi hii ndio maana wakisikia wanaume wenzao wanateleza tu inawauma sana wakifikiria wao ni hadi waumie ndio wanapata
Pisi zako zitakuwa mbovu sana maana hata uandishi ni wa uswahilini
Hatari sana!
Kila jambo Lina uzuri na ubaya wake sweetheart...Hatari sana!
Vipi hio love ni nzuri????
Yani tunakuja wenyewe tu hata hutumii nguvu!!
Ye afumue tu hakuna namna!