Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

Haaah mzee mbona kawaida izo mambo siku izi mapenzi ni kitu simpo Sana sio lazima kutoa pesa almost wanaume wote tuna kipaji kama chako mbona afu kawaida tu.Labda mm ukinizidi pesa apo ntaumia
 
Ni hivi sijisfiii ila mimi mwenzenu napendwa jaman bila kutumia nguvu.

Sihangaiki kuwa sifia na kujikomba kwao.

Siwahongi hata thumuni zaidi ya kuwapa muda wangu na dudu ikitokea kumpa kitu basi nampa kama vile ambavyo ningeweza kuwapa wana wengine..

Kitu ambacho wanaume wenzangu hadi mhonge magari na majumba mimi nakula na kukichezea kadri yangu.

Fikiria hawa ni watu wawili ambao wameniiba kwa rafiki yao mwingine tu na sio kwamba ni pisi zenye njaa au magumashi ni pisi ambazo huko nje mnazihonga pesa ndefu kabisa.

NB
Haya mambo ya mapenzi tusiigane wengine ni vipaji maalumu ndio maana hatuyahangaikii ila yanatufata yenyewe.

Watu wa ukimwi, watu wa kiroho, watu nuksi, mafeminist, na watu tafuta hela napenda niwataarifu tu kuwa badae nina miadi na mtoto prisca hivyo comments zenu mkafanyie kazi wenyewe
Hold on! Umesema unapendwa? Hakuna anayependa wala kupendwa hapo wapuuzi tu wamekutana wanahadithiana upuuzi wao.

Mwanamke anayependa kweli hata kuhisi tu mwanaume wake ana mwanamke mwingine ni vita, ila hao wanaochekelea hadi kuhadithiana kuna jina lao mimi sitolitumia.
 
Ukisoma comments utagundua ni Wanaume wachache sana wanambato bila kuhonga.Ile mentality ya wanaume tumeumbwa kuteseka itawaua.Fikiria unatongoza pisi,unaihonga mpaka ikubali,then unaipeleka Dina,then unatafuta loji,unasimamia kucha Ili demu akojoe then unampa pole na nauli juu!????As long as I remember sijawahi toa shingi kumi Kwa manzi na ninawala kama kawa.Wanaweza wasiwe kina Wema sepetu ila ni pisi quality tu zenye Tako and everything.Niishie hapo.
 
Ukisoma comments utagundua ni Wanaume wachache sana wanambato bila kuhonga.Ile mentality ya wanaume tumeumbwa kuteseka itawaua.Fikiria unatongoza pisi,unaihonga mpaka ikubali,then unaipeleka Dina,then unatafuta loji,unasimamia kucha Ili demu akojoe then unampa pole na nauli juu!????As long as I remember sijawahi toa shingi kumi Kwa manzi na ninawala kama kawa.Wanaweza wasiwe kina Wema sepetu ila ni pisi quality tu zenye Tako and everything.Niishie hapo.
Sema vijana hawaelewi hii ndio maana wakisikia wanaume wenzao wanateleza tu inawauma sana wakifikiria wao ni hadi waumie ndio wanapata
 
Haaah mzee mbona kawaida izo mambo siku izi mapenzi ni kitu simpo Sana sio lazima kutoa pesa almost wanaume wote tuna kipaji kama chako mbona afu kawaida tu.Labda mm ukinizidi pesa apo ntaumia
Usichukulie poa kaka wenzio kuvipata hivi hadi wahonge na kuji sacrifice sana kama wewe unavipata free furahia
 
Hold on! Umesema unapendwa? Hakuna anayependa wala kupendwa hapo wapuuzi tu wamekutana wanahadithiana upuuzi wao.

Mwanamke anayependa kweli hata kuhisi tu mwanaume wake ana mwanamke mwingine ni vita, ila hao wanaochekelea hadi kuhadithiana kuna jina lao mimi sitolitumia.
Wanazungukana mbili anamzunguka moja ,na tatu anamzunguka mbili na huyu tatu anarafiki yake nae ni kisu hatari soon na atazungukwa...mimi sina neno najifaidia vibuyu vyao
 
Ukisoma comments utagundua ni Wanaume wachache sana wanambato bila kuhonga.Ile mentality ya wanaume tumeumbwa kuteseka itawaua.Fikiria unatongoza pisi,unaihonga mpaka ikubali,then unaipeleka Dina,then unatafuta loji,unasimamia kucha Ili demu akojoe then unampa pole na nauli juu!????As long as I remember sijawahi toa shingi kumi Kwa manzi na ninawala kama kawa.Wanaweza wasiwe kina Wema sepetu ila ni pisi quality tu zenye Tako and everything.Niishie hapo.
Jina lako limenikumbusha huyu Character Vito Ferrari mtu mbaaaya sana duniani, JHC alimchora vizuri sana
 
Pisi zako zitakuwa mbovu sana maana hata uandishi ni wa uswahilini
 
Comments zinachekesha hatariii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni hivi sijisfiii ila mimi mwenzenu napendwa jaman bila kutumia nguvu.

Sihangaiki kuwa sifia na kujikomba kwao.

Siwahongi hata thumuni zaidi ya kuwapa muda wangu na dudu ikitokea kumpa kitu basi nampa kama vile ambavyo ningeweza kuwapa wana wengine..

Kitu ambacho wanaume wenzangu hadi mhonge magari na majumba mimi nakula na kukichezea kadri yangu.

Fikiria hawa ni watu wawili ambao wameniiba kwa rafiki yao mwingine tu na sio kwamba ni pisi zenye njaa au magumashi ni pisi ambazo huko nje mnazihonga pesa ndefu kabisa.

NB
Haya mambo ya mapenzi tusiigane wengine ni vipaji maalumu ndio maana hatuyahangaikii ila yanatufata yenyewe.

Watu wa ukimwi, watu wa kiroho, watu nuksi, mafeminist, na watu tafuta hela napenda niwataarifu tu kuwa badae nina miadi na mtoto prisca hivyo comments zenu mkafanyie kazi wenyewe
Hayanaga tuzo
 
Back
Top Bottom