Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo mwanaume.Ni hivi sijisfiii ila mimi mwenzenu napendwa jaman bila kutumia nguvu.
Sihangaiki kuwa sifia na kujikomba kwao.
Siwahongi hata thumuni zaidi ya kuwapa muda wangu na dudu ikitokea kumpa kitu basi nampa kama vile ambavyo ningeweza kuwapa wana wengine..
Kitu ambacho wanaume wenzangu hadi mhonge magari na majumba mimi nakula na kukichezea kadri yangu.
Fikiria hawa ni watu wawili ambao wameniiba kwa rafiki yao mwingine tu na sio kwamba ni pisi zenye njaa au magumashi ni pisi ambazo huko nje mnazihonga pesa ndefu kabisa.
NB
Haya mambo ya mapenzi tusiigane wengine ni vipaji maalumu ndio maana hatuyahangaikii ila yanatufata yenyewe.
Watu wa ukimwi, watu wa kiroho, watu nuksi, mafeminist, na watu tafuta hela napenda niwataarifu tu kuwa badae nina miadi na mtoto prisca hivyo comments zenu mkafanyie kazi wenyewe
Yule demu uliyeweka namba yake JF wahuni wakaanza kumkamia, mliishia wapi?
😀😀😀😀Watu wa ukimwi, watu wa kiroho, watu nuksi, mafeminist, na watu tafuta hela napenda niwataarifu tu kuwa badae nina miadi na mtoto prisca hivyo comments zenu mkafanyie kazi wenyewe
Jifunzeni kusoma maelezo wakuu ndio maana tz haisongi mbele kisa ujuaji.Tafta hela mkuu, acha kujiokotea mademu waliojichomea wa bure, maronya ronya.
Kama huhongi watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji tu ama utakua unasubiri wenzio tunakula utamu tukimaliza tunakuachia wewe unakua kama fisi, unasubiri mizoga iliyojifia ujipigie bure.
Kingine ni kwamba hauko busy, una free time nyingi ndio maana unawapa muda mwingi wanawake. Mwanamke cha kumpa ni hela na dudu, muda tumia kutafta hela.
Nitafute hela za nini.......? Hela ni wide termTafta hela mkuu, acha kujiokotea mademu waliojichomea wa bure, maronya ronya.
Kama huhongi watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji tu ama utakua unasubiri wenzio tunakula utamu tukimaliza tunakuachia wewe unakua kama fisi, unasubiri mizoga iliyojifia ujipigie bure.
Kingine ni kwamba hauko busy, una free time nyingi ndio maana unawapa muda mwingi wanawake. Mwanamke cha kumpa ni hela na dudu, muda tumia kutafta hela.
Kwanza post yako haikueleza unayoyaeleza sasa na pili Kwa post yako mkuu hizo sifa ulizoandika hapo huna. Huwezi kua boss na business partner halafu bado uwe na muda wa kuwapa wanawake, hilo ni uongo wa wazi mkuu wangu.Jifunzeni kusoma maelezo wakuu ndio maana tz haisongi mbele kisa ujuaji.
Mimi ni Mume wa mtu ,
Mimi ni baba wa watu,
Mimi ni boss wa watu,
Mimi ni business partner wa watu,
Nimeingia darasani kama wengi wenu,
Nasomesha,Nalisha ,navisha etc
Vipi niendelee kujieleza......?
Anatumia infinix au?Waambie wakununulie iPhone basi qum* ww
Ukiona hivyo haujui kuutumia muda wako freshKwanza post yako haikueleza unayoyaeleza sasa na pili Kwa post yako mkuu hizo sifa ulizoandika hapo huna. Huwezi kua boss na business partner halafu bado uwe na muda wa kuwapa wanawake, hilo ni uongo wa wazi mkuu wangu.
IndeedUshubwada
Kuandika kwenyewe hujui, utakuwa unawateka wajinga wenzako. HahaNi hivi sijisfiii ila mimi mwenzenu napendwa jaman bila kutumia nguvu.
Sihangaiki kuwa sifia na kujikomba kwao.
Siwahongi hata thumuni zaidi ya kuwapa muda wangu na dudu ikitokea kumpa kitu basi nampa kama vile ambavyo ningeweza kuwapa wana wengine..
Kitu ambacho wanaume wenzangu hadi mhonge magari na majumba mimi nakula na kukichezea kadri yangu.
Fikiria hawa ni watu wawili ambao wameniiba kwa rafiki yao mwingine tu na sio kwamba ni pisi zenye njaa au magumashi ni pisi ambazo huko nje mnazihonga pesa ndefu kabisa.
NB
Haya mambo ya mapenzi tusiigane wengine ni vipaji maalumu ndio maana hatuyahangaikii ila yanatufata yenyewe.
Watu wa ukimwi, watu wa kiroho, watu nuksi, mafeminist, na watu tafuta hela napenda niwataarifu tu kuwa badae nina miadi na mtoto prisca hivyo comments zenu mkafanyie kazi wenyewe
Ni jambo jema...We are in good terms na kile kitendo ndio kilituimarisha zaidi
Na hivyo vi hela vyenu ndio vinawafanya muwe na maisha magumu kila kona. Jitafute kijanaBado ni masikini Sasa utahonga nn kinachokusumbua ni umasikini sio kwamba si mtoaji utakula pisi ila siyo wanapokojolea wenzako wenye pesa....tafuta pesa mkuu