Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

Kijana, kumbe haujui humu hadi wakazi wa gamboshi, na nanjilinji wamo? Unakutana na post za vitoto vya 2000 unahisi wote tuko hivyo. Rudi kwenye ubongo wako ujadili upya
ndugu mimi bila evidence Hua sipotezi muda wangu kubishana toa vielelezo basi
 
So tulia niache Nile vyangu endeleeni kuhangaika na kuhonga majumba ndio mle
GMtthVfWEAApnbp.jpeg
 
😂 so mtu akiwa against na wewe ni feminist?? Basi fresh kiongozi.

Ila kwa hizo miandiko hapo majibu tunayo.
Kwa hizo miandiko hapo majibu tunayo.......hii tu imejidhihirisha hata wewe ni wa type hizo........ila keep in mind nafukunyua vibuyu kama nguruwe kwenye shamba la mihogo utaniambia nn
 
Back
Top Bottom