Mwanaume zilinde 'Shahawa' zako, huo ndo uhai wako

Umeingiza mambo ya Dini tena.
Nani kaongelea dini hapa ?

Unafahamu maana ya Nguvu za Kiume ?
Nguvu za kiume sio ubavu wenye nguvu.

Sio mbaya mwulize jirani yako maana ya nguvu za kiume atakuelewesha.
Je wale watu ambao hawana testes au wamefanyiwa vasectomy lakini wanatoa fluid zinazozalishwa katika Cowper's gland na seminal vesicles ambazo ndio hizi ukipiga bao unaziona unawaweka katika kundi gani?
 
Je wale watu ambao hawana testes au wamefanyiwa vasectomy lakini wanatoa fluid zinazozalishwa katika Cowper's gland na seminal vesicles ambazo ndio hizi ukipiga bao unaziona unawaweka katika kundi gani?
Hapa zinaongelewa nguvu kamili za kiume.
Zinazoweza kuzalisha watoto kupitia njia ya kawaida ya kukutana na akina mama.

Kaa kwenye mada kwanza, hayo mambo unayoongea kwa kiingereza waulize waingereza wenyewe.
 
Hapa zinaongelewa nguvu kamili za kiume.
Zinazoweza kuzalisha watoto kupitia njia ya kawaida ya kukutana na akina mama.

Kaa kwenye mada kwanza, hayo mambo unayoongea kwa kiingereza waulize waingereza wenyewe.
Hadi kupiga punyeto ni kukutana na akina mama? Huyo mleta thread ameongelea mpaka punyeto
Na wasio weza kuzalisha je lakini wanasimamisha?
 
Hadi kupiga punyeto ni kukutana na akina mama? Huyo mleta thread ameongelea mpaka punyeto
Na wasio weza kuzalisha je lakini wanasimamisha?
Hiyo ameyaandika kama matumizi mabaya ya nguvu za kiume za kiasili

Matumizi halari ameyaanisha hapo.
 
Ukifanya hivi unakuwa ultra horny..
Mpaka midoli ya fashion kwenye maduka ya nguo utaiona ina shepu nzuri
 
Kwa kifupi sema vijana waache zinaa, hili liko wazi tu kwanza ni chukizo kwa Allah na ni adui wa uchumi wako
 
Manipulation ni hali ya kuambiwa umwage sperms zako kwa mtu mmoja tu kwa kuwa ukienda kinyume utapoteza nguvu, as if Mswati hana nguvu, as if king solomon hakuwa na nguvu.
 
Vip zikitoka ukiwa usingizini...
Zkitoka zenyew automatically bila kuota unafnya mapenz Ni sawa Ila zkitoka ukiwa unaota unafnya mapenz na mwanamke Ni blaa Hilo hassa kinyume na maumbile!
 
Mada yako weka vzr , bado sijaona hoja ya msingi katk hali ya mwanaume kumwaga shawaha
 
Sio tu kutokumwaga, unafunga hata kuangalia PN, mi na ushuhuda kabisa ni majuzi tu hapaaa niliangalia t*g nyingi sana kumbe nimechota mapepo, nikatoa boko moja kubwa sanaa katika harakati zangu za kusaka ugali. nomaar mazee
Hmm! Haziwez kutoka bila kugusa mkuki au kuguswa. Hata ukiangalia masaa 48.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…