Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Tulivyofungwa na tukawa mabingwa.Tena waambie na kubebwa kote hukoo walipigwaaaaaa
Tulishawavurunda miaka 4 mfululu...hizo ni kawaida tuu TanzaniaTulivyofungwa na tukawa mabingwa.
Nyie tuna waburuza na Ubingwa mna usikia tu.
Wanajifanya wasahaulifu sana
Kiliwalamba fyeeeeTena waambie na kubebwa kote hukoo walipigwaaaaaa
Haya majitu ya nyumamwiko hayana akili kabisa ndiyo maana yamebondwa huko Lubumbashi
Kwa hiyo dakika huongezwa sababu ya kipa kuumia tu?Izo hazina shida kwakua zote izo makipa waliumia na kipa ana dk Tano za matibabu ukiachana na wachezaji wengine wa ndani.
Kwaiyo unatakiwa ujue Sheria na kanuni za mchezo ndugu mbumbumbu.