MwanaYanga akilalamika kuhusu kuongezewa muda muonyeshe hii picha halafu kaa kimya

Izo hazina shida kwakua zote izo makipa waliumia na kipa ana dk Tano za matibabu ukiachana na wachezaji wengine wa ndani.
Kwaiyo unatakiwa ujue Sheria na kanuni za mchezo ndugu mbumbumbu.
 
Yanga ila kweli Wana chuki Sana aisee na sisi.
Kuna haja tuwachangie pesa, wakafanyiwe operation ya kutoa mwiko...nahisi tatizo linaanzia huko.
 
Izo hazina shida kwakua zote izo makipa waliumia na kipa ana dk Tano za matibabu ukiachana na wachezaji wengine wa ndani.
Kwaiyo unatakiwa ujue Sheria na kanuni za mchezo ndugu mbumbumbu.
Kwa hiyo dakika huongezwa sababu ya kipa kuumia tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…