Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
 
FB_IMG_1708264219039.jpg


Sijui kama umenielewa... Twiga na nyoka wapi na wapi?
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Anapenda pesa yako,,,,ila wewe mwenyewe anakuona wakuja
 
Ahh chamsingi hudumia familia. Timiza majukumu yako. Bora hivyo kuliko angeku pet pet mbele ya umma halafu ndani ya nyumba kunawaka moto.

Zipo ndoa za hivyo, wakiwa nje kwa watu wanajionyesha kuwa mambo matamu. Ila wakisharudi nyumbani ni mguu wa shingo kisu mkononi.
 
Back
Top Bottom