Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Unasubiri nn humo kwa huyo mlupo
 

Attachments

  • Screenshot_20240412-174202~2.jpg
    Screenshot_20240412-174202~2.jpg
    99.8 KB · Views: 6
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Pole sana kaka .wadada wengi huwa hawaishi uhalisia wao wanafake iliwapate wanachoona kizuri ila sio cha kunipa heshima huwa n watoto wadg siku zote yan tuishi nao kwa akili na kuwasihii kila siku huwa wanabadilika.
 
Achana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Hadi njaa huoni tena

Upwiru utausikia tu

Ni ipo hivo namim nijiunge?
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Same situation. Same Story like mine
 
Back
Top Bottom