carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Aiseh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂SafiAngwesa…..
Unasubiri nn humo kwa huyo mlupoNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Mbona bonge 😂Pole bonge stay unique one day yes
Nyie wanawake watu wa ajabu sana mjueMbona bonge 😂
Lamba ndimuNyie wanawake watu wa ajabu sana mjue
Kitandani mnataka naniii
Mtaani mnataka nanii
Hadi kichefuchefu
Pole sana kaka .wadada wengi huwa hawaishi uhalisia wao wanafake iliwapate wanachoona kizuri ila sio cha kunipa heshima huwa n watoto wadg siku zote yan tuishi nao kwa akili na kuwasihii kila siku huwa wanabadilika.Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Aiseeee, anamdhalilisha sana yule mzee.Kama ilivyokuwa kwa Christina Shusho!
Angalia asije kukutangaza mitandaoni kama alivyofanya Shusho.
Hadi njaa huoni tenaAchana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Nimemdharau sana huyo Chrristina Shusho.Aiseeee, anamdhalilisha sana yule mzee.
Sio suluhisho sahih cha kufanya n kuambiana ukweli yan loyaltAngwesa…..
Hii n hoja nzuri sana maana binadamu huwa n kulingana na unachokifanya akn vitabu viwe n vya kujengaAchana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Nyie mnajuana nyieLamba ndimu
Mpe mpk alie
Atatuliza wenge
Same situation. Same Story like mineNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.