Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Kaa uongee nae, kuna vitu vinarekebishika mdau, mfano mimi aliwahi nichana laivu kua havutiwi na kitambi changu.
Na kisipoisha hanipeleki ukweni. Mzee baba nilizama gym kazi moja tu kuondoa kitambi. And it worked nikawa na look good.
Japo baadae tuliachana huyu wa sasa bora liende ndambi limerudi kama mwanzo.
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Pole sana
 
Kuishi na mtu wa aina hiyo ni kazi sana.pole bro.

Kama eneo lingine yuko vizuri nakushauri jenga muonekano wa kuvutia.

Pia nae anakosea badala ya kusema hawezi kutembea na wewe basi angeshuri nini kifanyike ili kuwa kama anavyotaka
 
Back
Top Bottom