West london
Senior Member
- Jun 24, 2019
- 131
- 321
PIGA CHINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujikubali mbele za watu halafu unataka mkeo akukubali.....badili mfumo wa matazamio yako mkuuNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Pole Sana.Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
[emoji23][emoji23]mbunye sawa anatafuna anavyotaka lakini kuna ile hali ya kujisikia una kasoro ndio maana anakuonea aibu kwa watu.
Dawa ni kumzagamua mbunye kihuni unaipiga nje ndani kama unachimba maokoto.
PichaNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Vitabu vinaondoa nyege?Achana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Yalishawahi kunikuta nilichofanya nikawa busy na utafutaji wangu kuliko yeye nikawa free soul nikawa simpi attention nikifika home nawasha Tv nikiona nimechoka naingia JF au nasoma online books nikatafuta wa kunithamini nikawa busy nae .In short anaekukana mbele za watu wake we mkane gizani na kwa masela baadae nikamuambia mtoto aende bording ili tugawane njia ukawe huru na watu wakoNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Si ambadirishe sio kumkimbia na kutenganaKama unavaa hivi lazima aone aibu😆😆 Cc Mpwayungu Village
Wanawake si hawaga akili mkuu au umesahau??Si ambadirishe sio kumkimbia na kutengana
Mmh hata sijaelewa unasemea nini, mi nime quote iyo nyimboSio suluhisho sahih cha kufanya n kuambiana ukweli yan loyalt
Huyo bado mtoto akikua ataachaNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huo ni mtihani pole sana si Leo tumeenda kisarawe tumekula mahindi
Tukaja Pugu na kula utumbo siku imeisha na outinga imekamilika