Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Pole mwaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani unapendelea kuvaa mavazi ya aina gani ?Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
hahahhahahaha uwiii jaman ukiingia JF bila kucheka huna bandamaAcha kudate na hawa wakina dada wa "nkilewa nakua mtamu"
Furahi dadangu maisha yenyewe haya hayahahahhahahaha uwiii jaman ukiingia JF bila kucheka huna bandama
Kwa hyo hata ukitaka kula mbususu, kuzaa watoto unasoma tu kitabu au sioAchana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Si dalili nzuri, one thing mwanamke hawez ficha is how she feels about you, ongea nae kama umemuoa afunguke ana expect nini or else jiandae fornbad newsNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
very trueFurahi dadangu maisha yenyewe haya haya
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Jitahidi uwe nadhifu.Jitahidi uwe nadhifu .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anapenda pesa yako,,,,ila wewe mwenyewe anakuona wakuja
Jenga ndani mzeeNi mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.
Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.
Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.
Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
🤣🤣🤣I guess utakua na maokoto sana we jamaa, ila ndo haujipendi flani hivi😹