Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Mkuu kwani unapendelea kuvaa mavazi ya aina gani ?
 
Achana na mapenzi, njoo tusome vitabu, yaani ukizoea kusoma vitabu unaona vitu vingine vyotee vinakupotezea mda, ni wewe na vitabu, vitabu na wewe.
Kwa hyo hata ukitaka kula mbususu, kuzaa watoto unasoma tu kitabu au sio
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Si dalili nzuri, one thing mwanamke hawez ficha is how she feels about you, ongea nae kama umemuoa afunguke ana expect nini or else jiandae fornbad news
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Jitahidi uwe nadhifu .
Jitahidi uwe nadhifu.
 
Nenda gym, tengeneza muonekano, itafka kpnd atakua hatak utoke peke yako had mfuatane
 
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti.

Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida.

Tukiwa ndani hakuna shida ila nje ndo mtihani.

Wadada mungu hakupi vyote, mi usharobaro na ubraza men siuwezi. I feel disappointed.
Jenga ndani mzee
 
Kuna ndugu yangu,ndoa yake ilivunjika toka wameoana anadai hajawahi kumuona mke wake anacheka hata achekeshe vipi hola .Ila akikaa na msaidizi wa kazi wanachekaaa weee.Akikaa sebuleni mke anaenda chumbani,akienda chumbani mke anarudi sebuleni.Pia kwenye simu alikuwa kamsevu mtu wa kwenye series za kihindi za Azam mkatilii nimemsahau.Kali kuliko hata wakisafiri mke na mume wanapanda bus tofauti.Mwishoe akamwambia hawaendani na kamuharibia watoto kwa sura mbaya.Kuwa makini jiweke pembeni mapemaaa.
 
Back
Top Bottom