Pascal Mayalla awamu hii kila mtu anataka kula kwa urefu wa kamba yake. Yawezekana huyu mwandishi yuko kwenye kamba ya sakata hili.
i
Maulidi Ktenge alipost clip moja kupitia Wasafi Media akawa anasoma ujumbe aliotumiwa na Nawanda (na na Nawanda alitumiwa na mbaya wake) kwenye simu yake baada tu ya taarifa za mwandishi huyo kusambaa. Ujumbe unamtishia Nawanda kwamba atakoma na hapo ni mwanzo tu. Na kwamba alionywa kuacha kufuatilia mambo ya watu hakusikia.

Hii inaonesha Kuna kitu kimpeikwa juu ya sakata hili.

Inakuwaje mtu mzima afanye ngono halafu ibumbuluke?? Pascal Mayalla unanikwaza sana kwamba na wewe na unguli wako wote unategemea vijitaarifa vya mitandao uchawara hivi. Kwann usikwee pipa na kwenda kupiga kambi huko ukaja na taarifa isiyokuwa na mashaka??
 
kwa hiyo ana uzoefu wa kufanya mchezo huo? Basi nacho kahojiwe vema kujua historia yake katika mchezo huo huenda ni kashetani fulani hivi
 
Yeah. Kashfa zingine bhana zinaweza kupigwa danadana ila sio hii manake inamchafulia na kuifedhehesha mno Serikali yake. Yes, Mama yuko smart- anamuondolea kinga chap' halafu anamwacha ili wenye kazi zao wacheze nae kiduku
 
Huyu ni lazima akamatwe kwa sababu tuwezekano mkubwa ni kwamba ukio lhili lilikuwa ni dili; wanaweza kuwa wamepewa pesa hawa
Huyu ni halali kabisa kukamatwa
 
Huyu ni lazima akamatwe kwa sababu tuwezekano mkubwa ni kwamba ukio lhili lilikuwa ni dili; wanaweza kuwa wamepewa pesa hawa
Huyu ni halali kabisa kukamatwa
Deal wakati victim kaenda ku-report mwenyewe na ameenda kutoa vipimo kama ushahidi.

Mabaradhuli kama nyie mnaotetea huo ushenzi utakuta ndio tabia zenu kuwachukua mabinti kuwalewesha saa zingine kuwawekea mihadharati na kuwafanyia mambo ya hovyo.

Huyo mkuu wa mkoa kabaka hakuna kingine. Watu wanaotetea ujue na wenyewe ndio tabia zao.

Serikali inatakiwa kumfanya huyo mkuu wa mkoa mfano kama njia ya kuwapa nguvu na imani wanawake kujitokeza. Kwa sababu inaonekana kuna mijitu mingi inatabia hizo na yenyewe inaona matendo yao sawa.

Utakuta kuna wanawake wengi sana wapetia rape za namna hiyo wanaona aibu tu kujitoleza.

Useless kabisa watu kama nyie, ningekuwa mod natoa tu ID zenu kwa ndugu na jamaa waje walipe visasi kwenu.
 
Hakuna kitu kama hicho broo. Walikuwa na mahusiano ya muda mrefu halafu hao ni watu wazima(Adults). Huyo binti ni mzoefu ila sema tu Dili (tozo)lilibumba
na kwa uzoefu wake akajua la kumfanya huyo kidume ili kumkomoa. Na kweli kamkomoa.
 
Hakuna kitu kama hicho broo. Walikuwa na mahusiano ya muda mrefu halafu hao ni watu wazima(Adults). Huyo binti ni mzoefu ila sema tu Dili (tozo)lilibumba
na kwa uzoefu wake akajua la kumfanya huyo kidume ili kumkomoa. Na kweli kamkomoa.
Mimi wala sina tatizo tundu gani kaingiliwa na kwa umri wake sheria inamruhusu kufanya tendo la ndoa na mtu wa umri wa rika linaloruhusiwa.

Shida ni kwamba hata kama huyo dada angekuwa mtu wake wa kila siku au malaya anaeijiuza na washakutana mara kadhaa.

Iła siku inayolalamikiwa huyo dada akutaka kutoa mzigo sasa it doesn’t matter ni mtu wake au la; kumuingilia mtu bila ya idhini yake ni ubakaji simple as that.

Halafu kiongozi gani ana tabia za hovyo kuparamia watu kwenye magari nje ya bar hilo tu tosha kufukuzwa kazi hata kama ingekuwa consensual act.

Jamaa ni mtu wa hovyo na serikali imepata ‘scapegoat’ ya kutuma salamu kwa wengine. Kama wanaweza deal na kigogo basi wengine wajue hawako salama na hizo tabia jeshi la polisi aiwezi vumilia ni ubakaji wa kutumia kilevi.

Hii kesi kama wako serious na hali mbaya ya mmomonyoko wa maadili inayoendelea huyo mkuu wa mkoa anatakiwa kuwa mfano wa kutuma salamu kwa wengine kwenye jamii.
 
Matukio haya sasa yamezidi sio chini ya mara5 naskia hz mambo sasa hzo haki zi nazosifiwa kila siku haki za waandishi zko wapi? Au ndo danganya totoo!!
 
Nchi ngumu sana hii. Hapo atatafutiwa kesi ya utakatishaji fedha, uchochezi, ukiukaji wa maudhui ya kuweka taarifa mtandaoni, kuendesha chombo cha habari huku akiwa hana kibali, nk.
Why the negativity? Kwa nini usiheshimu kazi za wenziyo ukasubiri taarifa rasmi? Activists!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…