Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

Kwenye vita, media ni silaha hatari sana, unapotangaza mabaya zaidi ya nchi yako na wewe ni adui, unataka askari waasi na kukimbia vita na kusalimu amri kwa adui, kwenye vita hakuna nchi ya kuvumilia muandishi wa hivo. Msemaji wa jeshi na serikali wapo ,ndo wanapaswa kutoa taarifa za vifo na maendeleo ya vita, majeruhi, vifo na missing soldiers.
 
Wanaficha ukwelli soma hii wametema Bungo Gaza wanakimbia wenyewe😀

View: https://x.com/sprinter99800/status/1743761586240524757?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
These are the real numbers of Israeli losses in Gaza so far and the number of Israelis killed in the war on Gaza after 83 days of war..:

Number of vehicles 825
The number of Zionists killed was 8,435
French death toll: 902
The number of American deaths was 1,385, the number of British deaths was 79
The number of Italians killed was 48
The number of mercenaries killed was 62

From Israeli press sources..
 
Naona maiti wanazitupa baharini tu ziliwe na samaki
Huku ndugu wanaambiwa vijana wako front
Hata vita ya Iraq walikufa sana na wengi walizikwa Ujerumani kimya kimya

Wao vifo kwao ni siri kubwa kwa kuona aibu kutaja maafa
Ila kwa wengine ni sawa tu
Kama wanavyotangaza ya nchi masikini pia za Africa watoto wanavyokufa kwa njaa na maradhi ili wajikusanyie misaada

Wayahudi wamekufa sana ila hawawezi kuficha kwani tunasoma na kusikiliza kila TV na radio pia simu kila nchi
Naangalia mpaka TV Yemen na ya kwao pia hata TV Palestine ipo hewani
Hawatudanganyi tena
 
mauaji ya Luteni Kanali Roy Yochai Mordechai, kamanda wa kikundi katika Brigade ya Nahal, aliuawa kaskazini mwa Gaza.


View: https://x.com/mosha3324/status/1743687592866918758?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
idadi kubwa ya wanajeshi waliouawa itakuwa ngumu kuficha katika nchi ndogo kama Israeli. Je, haipaswi kuwa na mazishi zaidi na familia zinazoomboleza? Au bado familia hazijui? Tusisahau jinsi Marekani hapo awali ilidanganya kuhusu vifo vya Vietnam.
Gaza imebaki magofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…