Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Mazayuni majinga sana acha yauane tu hayana faida ya kuishi
Kwenye vita, media ni silaha hatari sana, unapotangaza mabaya zaidi ya nchi yako na wewe ni adui, unataka askari waasi na kukimbia vita na kusalimu amri kwa adui, kwenye vita hakuna nchi ya kuvumilia muandishi wa hivo. Msemaji wa jeshi na serikali wapo ,ndo wanapaswa kutoa taarifa za vifo na maendeleo ya vita, majeruhi, vifo na missing soldiers.Wanaukumbi..
⚡️[Itathibitishwa]
Habari za kuuawa kwa mwandishi wa habari wa Kiyahudi Jerry Yorkam, ambaye aliandika ripoti inayoelezea idadi ya Wayahudi waliouawa katika vita vya Gaza baada ya siku 83 za vita.
Idadi ya magari 825
Idadi ya Wazayuni waliouawa 8435 Idadi ya vifo vya Ufaransa 902 Idadi ya Wamarekani waliouawa 1385 Idadi ya Waingereza waliokufa 79
Idadi ya Waitaliano waliuawa 48 Idadi ya mamluki waliokufa 62
Takwimu hizi zote zilitayarishwa na mwandishi wa habari Jerry Burkham, na nambari hizi zinalingana na idadi ya vyombo vilivyohifadhiwa kwenye meli ya MGZ, iliyotia nanga umbali fulani kutoka bandari ya Haifa na kulindwa na Jeshi la Wanamaji la Amerika. Ilibainika kuwa idadi kubwa ya boti ndogo zilitumwa na kutoka, jambo ambalo lilimfanya mwandishi wa habari hii kupata habari hii iliyotikisa mtaani. Adui, ambayo ilisababisha mauaji yake katika mikono ya Mossad katika mji wa Acre kwa ajili ya kuchapisha habari hii, na meli kutoweka mbele ya macho na baadaye kuonekana katika bandari ya Cyprus.
View: https://x.com/me_observer_/status/1743716396171735511?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaficha ukwelli soma hii wametema Bungo Gaza wanakimbia wenyewe😀Kwenye vita, media ni silaha hatari sana, unapotangaza mabaya zaidi ya nchi yako na wewe ni adui, unataka askari waasi na kukimbia vita na kusalimu amri kwa adui, kwenye vita hakuna nchi ya kuvumilia muandishi wa hivo. Msemaji wa jeshi na serikali wapo ,ndo wanapaswa kutoa taarifa za vifo na maendeleo ya vita, majeruhi, vifo na missing soldiers.
mauaji ya Luteni Kanali Roy Yochai Mordechai, kamanda wa kikundi katika Brigade ya Nahal, aliuawa kaskazini mwa Gaza.Naona maiti wanazitupa baharini tu ziliwe na samaki
Huku ndugu wanaambiwa vijana wako front
Hata vita ya Iraq walikufa sana na wengi walizikwa Ujerumani kimya kimya
Wao vifo kwao ni siri kubwa kwa kuona aibu kutaja maafa
Ila kwa wengine ni sawa tu
Kama wanavyotangaza ya nchi masikini pia za Africa watoto wanavyokufa kwa njaa na maradhi ili wajikusanyie misaada
Wayahudi wamekufa sana ila hawawezi kuficha kwani tunasoma na kusikiliza kila TV na radio pia simu kila nchi
Naangalia mpaka TV Yemen na ya kwao pia hata TV Palestine ipo hewani
Hawatudanganyi tena
Uliona video Twitter (X) akiwa anafanyiwa ule ukatili to death alikuwa na combat (gwanda)?
Hawa ndio viherehere wanaosema watoto wauwawe mbwa haomauaji ya Luteni Kanali Roy Yochai Mordechai, kamanda wa kikundi katika Brigade ya Nahal, aliuawa kaskazini mwa Gaza.
View: https://x.com/mosha3324/status/1743687592866918758?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hizo taarifa ukiziangalia kwa jicho la uchunguzi ni zile tunaita fake news au planted report, zikiwa n lengo la kuleta taharuki katika jamii ya kiyahudi.
Gaza imebaki magofuidadi kubwa ya wanajeshi waliouawa itakuwa ngumu kuficha katika nchi ndogo kama Israeli. Je, haipaswi kuwa na mazishi zaidi na familia zinazoomboleza? Au bado familia hazijui? Tusisahau jinsi Marekani hapo awali ilidanganya kuhusu vifo vya Vietnam.