Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Gaza imebaki magofu
Ila mnaroho ngumu sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaza imebaki magofu
Gaza haijengeki tena we endelea kuota ndoto za mchana,Unashangaa Gaza magofu wakati kijijini kwenu mnakunya kwe choo cha shimo mlango gunia.
Unajua kama kuna mfuko wa kujenga Gaza unasimimiwa na Qatar.
Tuma pesa nyumbani mjenge choo.
Roho ngumu ndio sifa ya wanaume hiyo shekhe, sio kama hamas wanaojificha nyuma ya makalio ya dada zao,Ila mnaroho ngumu sana,
Hili ndio lengo la vita la hao mabwana zako? Lengo ni kuifuta Hamas na kuwapata mateka wao,je malengo yao yametimia?Gaza imebaki magofu
Nuliwahi kuleta video ya mtunza maiti wa Idf akilalamika maiti zinanuka sana na makontena hayatoshi, toka zamani wenye akili walishajua Idf anapika data ya idadi ya wanajeshi wao wanaokufa.idadi kubwa ya wanajeshi waliouawa itakuwa ngumu kuficha katika nchi ndogo kama Israeli. Je, haipaswi kuwa na mazishi zaidi na familia zinazoomboleza? Au bado familia hazijui? Tusisahau jinsi Marekani hapo awali ilidanganya kuhusu vifo vya Vietnam.
Jerusalem ni mali ya israel na italindwa kwa gharama yyte ile,Kwani hujui mazayuni sio binadamu, hata mbweha na fisi wana unafuu! Hata wewe na uyahudi wako weusi akikuona hakuchukulii kama wao kwa wao.
Hezbollah's executive council chairman, Hashem Safi al-Din to Israel:Nuliwahi kuleta video ya mtunza maiti wa Idf akilalamika maiti zinanuka sana na makontena hayatoshi, toka zamani wenye akili walishajua Idf anapika data ya idadi ya wanajeshi wao wanaokufa.
Lengo ni kuondoa wapalestina wote gaza na hilo limewezekana kwa %100 na huo ndio ushindi wenyeweHili ndio lengo la vita la hao mabwana zako? Lengo ni kuifuta Hamas na kuwapata mateka wao,je malengo yao yametimia?
Vita sio kubomoa majumba kijana,ushindi hupatikana pale unapotimiza malengo yako,nje ya hapo unahesabika umefeli,wayahudi waliopo Tel Aviv wanasema vita imewashinda ila wewe uliyepo huko Shelui ndani ndani unasifia!
gaza maiti zinazikwa kwa skavetaNuliwahi kuleta video ya mtunza maiti wa Idf akilalamika maiti zinanuka sana na makontena hayatoshi, toka zamani wenye akili walishajua Idf anapika data ya idadi ya wanajeshi wao wanaokufa.
waneno matupu hayasaidiiHezbollah's executive council chairman, Hashem Safi al-Din to Israel:
“If you think that there are hidden bases that we cannot hit, then we tell you that there is no such thing in the face of Hezbollah's missiles and capabilities, all the sites in israel are within the range of Hezbollah's missiles.”
Huenda umri wako mdogo toka mwaka 1948 wanasema hivyo kwenye vitendo sasa mpaka leo mwezi 4 wanashindwa kuingia Gaza kuchukua mateka wao Gaza yenyewe Kigamboni kubwa.Lengo ni kuondoa wapalestina wote gaza na hilo limewezekana kwa %100 na huo ndio ushindi wenyewe
Next time acheni kulia lia mnapochokoza watu muwe mmejipanga, habari za kukimbilia kwenye mashimo kama fuko muache,Tatizo lako unafikiri wazayuni wanakutambua wewe golo halafu mkristo?
Mkristo kwa mazayuni ni najisi tu.
Lengo sio kuchukua mateka shekhe lengo ni kuifuta gaza na hilo limefanikiwa kwa %100Huenda umri wako mdogo toka mwaka 1948 wanasema hivyo kwenye vitendo sasa mpaka leo mwezi 4 wanashindwa kuingia Gaza kuchukua mateka wao Gaza yenyewe Kigamboni kubwa.
kwenye vita hicho kitu kawaida sanaaa,Wewe Muisrael mweusi wa Tukuyu hujui lolote bakia na ushabiki mandazi Waisrael wenyewe wanaomba suluhu na Hezbollah.
Next time acheni kulia lia mnapochokoza watu muwe mmejipanga, habari za kukimbilia kwenye mashimo kama fuko muache,
Kawaida hii kujinyea?kwenye vita hicho kitu kawaida sanaaa,