Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

Wanaukumbi..

⚡️[Itathibitishwa]

Habari za kuuawa kwa mwandishi wa habari wa Kiyahudi Jerry Yorkam, ambaye aliandika ripoti inayoelezea idadi ya Wayahudi waliouawa katika vita vya Gaza baada ya siku 83 za vita.
Idadi ya magari 825
Idadi ya Wazayuni waliouawa 8435 Idadi ya vifo vya Ufaransa 902 Idadi ya Wamarekani waliouawa 1385 Idadi ya Waingereza waliokufa 79
Idadi ya Waitaliano waliuawa 48 Idadi ya mamluki waliokufa 62

Takwimu hizi zote zilitayarishwa na mwandishi wa habari Jerry Burkham, na nambari hizi zinalingana na idadi ya vyombo vilivyohifadhiwa kwenye meli ya MGZ, iliyotia nanga umbali fulani kutoka bandari ya Haifa na kulindwa na Jeshi la Wanamaji la Amerika. Ilibainika kuwa idadi kubwa ya boti ndogo zilitumwa na kutoka, jambo ambalo lilimfanya mwandishi wa habari hii kupata habari hii iliyotikisa mtaani. Adui, ambayo ilisababisha mauaji yake katika mikono ya Mossad katika mji wa Acre kwa ajili ya kuchapisha habari hii, na meli kutoweka mbele ya macho na baadaye kuonekana katika bandari ya Cyprus.


View: https://x.com/me_observer_/status/1743716396171735511?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Na leo wamemuua mwandishi mwengine wa Aljazeera aliyekuwa ana ripoti live.
 
H
Huyo alienda kusoma afu kalamu ikampasua kichwa akafa
Hivi nyie mafarisayo huwa mnafikiri kwa kutumia nini?, maana sio ubongo kabisa ni tope

Mtu kaenda kusoma, halagu mnamuua?

Nasemaje Israel piga hao mbwa mpaka wachakae
Ukishirikiana na mazayuni kuua watu kama wanavyofanya unatakiwa upigwe chuma
Umeelewa au niandike kwa herufi kubwa unieleee vyema?
Naona propaganda zenu za kinafiq ziliyeyuka
 
M
Hivi kwa nini Mayahudi weusi wengi wa Yombo, Chanika, Kimara, Bonyokwa, Maramba mawili, huwa wakuwa na roho ngumu kuzidi Mayahudi wa Israel?
Mafarisayo mna tabu sana, yaani auwawe ndugu yako mnaetokea nchi moja na hao mafarisayo wenzenu halagu mnachekelea

Halafu wakipelekewa moto mnajifanya kuwatetea

#IstandwithJoshua
 
Lengo sio kuchukua mateka shekhe lengo ni kuifuta gaza na hilo limefanikiwa kwa %100
🤣🤣🤣
Muisrael mweusi wa Tukuyu anakuja lengo lake sasa wewe goro na White House National Security Council spokesperson John Kirby, tumuamini nani? Msome John Kirby.
>>>>>>>>>>>>
Kirby acknowledges, though, that while it’s possible for Israel to significantly degrade Hamas’s capabilities by eliminating the terror group’s leadership, the IDF won’t likely be able to “erase the group from existence.”

“You are probably not going to eliminate the ideology,” Kirby says, reiterating the US belief that only by presenting a viable path toward peace can the vision of Hamas be successfully combated.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wanasema hawezi kuifuta Hamas wewe Muisrael mweusi unashindwa hata kujitibu UTI unasema wameifuta Hamas😂
 
M

Mafarisayo mna tabu sana, yaani auwawe ndugu yako mnaetokea nchi moja na hao mafarisayo wenzenu halagu mnachekelea

Halafu wakipelekewa moto mnajifanya kuwatetea

#IstandwithJoshua
Usiwe punguani wewe Baba yake Joshua yupo Israel kasema yule kwenye video siyo mwanae anatata kujua yupo wapi mwanae nyie mapunguni mnameza kila propaganda za mabwana zenu.
 
Hivi kwa nini Mayahudi weusi wengi wa Yombo, Chanika, Kimara, Bonyokwa, Maramba mawili, huwa wakuwa na roho ngumu kuzidi Mayahudi wa Israel?
Waambie wajomba zako watoke kwenye mapango watakaa hadi lini??
 
Wanaukumbi..

⚡️[Itathibitishwa]

Habari za kuuawa kwa mwandishi wa habari wa Kiyahudi Jerry Yorkam, ambaye aliandika ripoti inayoelezea idadi ya Wayahudi waliouawa katika vita vya Gaza baada ya siku 83 za vita.
Idadi ya magari 825
Idadi ya Wazayuni waliouawa 8435 Idadi ya vifo vya Ufaransa 902 Idadi ya Wamarekani waliouawa 1385 Idadi ya Waingereza waliokufa 79
Idadi ya Waitaliano waliuawa 48 Idadi ya mamluki waliokufa 62

Takwimu hizi zote zilitayarishwa na mwandishi wa habari Jerry Burkham, na nambari hizi zinalingana na idadi ya vyombo vilivyohifadhiwa kwenye meli ya MGZ, iliyotia nanga umbali fulani kutoka bandari ya Haifa na kulindwa na Jeshi la Wanamaji la Amerika. Ilibainika kuwa idadi kubwa ya boti ndogo zilitumwa na kutoka, jambo ambalo lilimfanya mwandishi wa habari hii kupata habari hii iliyotikisa mtaani. Adui, ambayo ilisababisha mauaji yake katika mikono ya Mossad katika mji wa Acre kwa ajili ya kuchapisha habari hii, na meli kutoweka mbele ya macho na baadaye kuonekana katika bandari ya Cyprus.


View: https://x.com/me_observer_/status/1743716396171735511?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Gaza hali ni mbaya. Waisrael wanaendelea kuuchakaza mji. Inaumiza roho sana. Al Jazeera wanatupa updates za kuumiza moyo.

 
Waambie wajomba zako watoke kwenye mapango watakaa hadi lini??
Hahahaha jeshi la mashoga unampangia adui yako wao sina wana kila kitu wawafuate huko basi.
Msome bwana wako halli tete😂
BREAKING:

⚡ 🇮🇱 Netanyahu again calls for a 'ceasefire' with Hezbollah

"Israel is ready to resolve the conflict with the Hezbollah movement peacefully, but is considering other options in case of failure"

"Israel aims to protect its citizens and return residents of the north of the country to their places of residence.

This is a national goal that everyone shares and we are acting responsibly to achieve it. If it works out, then we will do it through political means, and if not, then we will act in other ways." - he also said.

t.me/megatron_ron
 
Back
Top Bottom