Mwandishi Andrew Chale anusurika kutekwa na watu wasiojulikana

Kama watekaji ni polisi utaenda kuripoti polisi kwa lengo gani? Maana hata kama walikuwa hawana uhakika na sura yako na mahali unapoishi, ukienda kuripoti ndiyo utakuwa umewarahishia.
Eeh! ameripoti kituo kipi cha Usalama?
 
Makubwa hivi baba wa nyumba Hii yupo hai kweli?
 
CDM wanataka kutengeneza move mpya ili tusahau ya Gaidi Lwakatare na Mtandao wake wa kigaidi wa chadema. Huyo mwandishi wa Free Media chini ya Mbowe amepewa maelekezo aigize.Hapa hapotezwi mtu. Huko analogia tulishahama tuko Digital kajipangeni upya.

mmmh! Harufu mbaya hii, hv wewe unawaza kwa kutumia makalio? We unadhani kati ya waliomkamata lwakatare na lwakatare mwenyewe nani gaidi? Pumbavu!
 
Waandishi wa habari wameundiwa hali ya kuamini kuwa mbaya wao ni Lwakatare na kwa vile sasa yuko ndani basi wako salama,
Kalagabao

acha ujinga we KAMAKABUZI, kwn huyo lwakatare ameshathbitishwa na mahakama kuwa anahatia? Acha ku2mia makalio kufikiri.
 
WanaJF tutasikia matukio haya na kuona mambo mangapi ili watanzania tuamke usingizini?? Naona kuna jambo la ziada la kufanya.
 
acha propaganda.

 
habari hii ina editorial note nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…