Mwandishi wa habari Cyprian Musiba arejeshewe mazingira ya kufanya kazi tena amejifunza

Intelligence Justice

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2020
Posts
3,443
Reaction score
4,006
Kama mada ilivyo hapo juu kwa kuwa inadaiwa kuna 4R (Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding)

kwamba zinatibu vidonda vya kuumizwa kiakili, kimwili, kiuchumi na kijamii basi nafasi hiyo ifunguliwe kwa mwandishi mkongwe Cyprian Musiba ili kuchangamsha zaidi myambuliko wa siasa za Tanzania nina imani atabadilisha namna ya uwasilishaji wa jumbe zake kitaalauma bila kuingilia uhuru wa watu wengine kwa kuzingatia sheria hivyo ni ombi langu mamlaka wamsaidie arejee kwenye jukwaa la habari tena.
 
shetani mkubwa anyongwe afe
 
Kuna mtu alimzuiaaa?
Kilichopungua, ni kuwa alikuwa anapewa fedha na JPM, kuendeshea vyombo vyake vya habari. Gazeti la kurasa 24,unashangaa unasoma kurasa nne tu, ndizo zente habari, lakini zilizobaki zimejaa picha tu za kusifu. Hivyo, lilikuwa haliuziki kabisa. Gazeti lingine, ni TAZAMA, nalo lilikuwa la mkondo huo huo wa wa kupewa fedha. Baada ya kufariki tu JPM, nayo yakashindwa kutoka.
 
Ndio nani huyo.? Akifanya nini.? Yuko wapi.? Ni mtanzania.? Sio mkimbizi.?
Tukumbushane
 
Nani kamkataza kuwa mwanaharakati huru?
 
Acha ujjnga.
WaTanzania tumechoka na hawa wajinga Aka Basite!
 
Hiyo sasa bila kumung'unya maneno ni kuwa huyo uliyemtaja sijui JPM alikuwa mshamba basi na aliharibu mifumo ya habari huru.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Shetani mkubwa wewe. Tena ulaaniwe kama upo kwenye usafir mungu aamue kesho uamkie kwenye jengo lolote la seriKli
 
Ni kweli. Kama jambazi lakutupwa lililopaswa kuwa limenyongwa ndiyo mwenezi wa ccm , sasa kwann Musiba asiwe msemaji wa serikali?
 
KWANZA AWALIPE WANAOMDAI ili MACHAWA wote wajinga wajinga wajifunze

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…