Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Haya sasaKama wewe unavyohusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sasaKama wewe unavyohusika
Sitaki kuelewa mada ila atoke tu huko kama anatafutwa na polisi nae si muhalifu atoke tu kabla msitu haujatiwa moto!Kwanza hujaelewa hata mada yenyewe, nimeamini kweli akili ni nywele na Kipara ni mzigo
Aende tu polisi naamini yeye sio muhalifu!Si kumemsaidia kujulisha jamii kinachoendelea Kati yake na polisi angekuwa polisi tungepata taarifa wapi? Mzee hicho kupara kipya cha uchawi?
Akajue anaitiwa nini!Akaripoti nini kituo cha polisi!
Dadekii kuna mtu kalizwa!CCM wote hawana tofauti na ulishaambiwa kuwa yeye na mwendazake lao ni moja.
Ni kawaida sana kwa mtu anaye ishi kwa shemeji yake kama wewe kutokuwa mawazo mbadalaDadekii kuna mtu kalizwa!
lakini hawakumwambia aende kituo cha polisi.Akajue anaitiwa nini!