Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha urongo wewe umri gani uliosonga!!!???natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
Acha uchuro bwashee!Changamoto zinatumaliza. Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.
Georrggggggg MaratoooooAnaitwa Vedastus Msungu mmoja kati ya maripota bora wa ITV kwa miaka ile ya mwanzoni wa 2000 kando ya akina Adam Akyoo, George Maratooo, Afu ukute sasa habari inasomwa na akina Betty Mkwasa, Julius Nyaisanga au Asha Mtwangi. ITV ilikuwa moto sana
RIP Msungu
Alikuwa na miaka mingapi??.natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
God forbid!Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.
Nakuhakikishia kuwa hatutatatua tatizo la Corona kwa kujidanganya kuwa halipo!Huwezi kusema kuwa amekufa kwa natural death sijui umri ulikuwa umeenda wakati kilichomuua ni Corona ambayo tungeweza kupambana nayo kama Taifa.Nakuhakikishia kuwa tutaendelea kupukutika kama Nzige waliopigwa sumu hadi pale tutakapokubali kuwa tuna tatizo.natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
Kama ilivyokuwa kwa Pierre Nkurunzinza wa Burundi.Pole sana kwa wafiwa. Tunamshukuru sana Seif kwa kujitangaza mapema kuwa ana COVID na tayari naye kaenda zake na huyu ndiye alisalimiana na Stone Tangawizi kwa mateke. Stone Tangawizi yeye bado amekomaa kwamba ugonjwa huo ni hofu tu. Siku ukipiga hodi chumbani kwake ndipo atapata fahamu
Eeeer!!!! Umri umesongaa!!!?natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
Mkuu...Huyu huyu Vedasto Musungu ambaye mpaka juzi tu tulikuwa tukisoma habari zake na kuangalia picha zake Kyle Insta???
Dah! Kweli hali sio Njema. RIP Vedasto Musungu [emoji22][emoji22]
Kuna vigogo wengi sana hali zao ni mbaya sana hapo Muhimbili wanawekewa mitungi miwilimiwili,nakuhakikishia kuwa bado kidogo sana tutakubali kuwa Corona ni tatizo!Changamoto zinatumaliza. Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.