IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Mtaokotwa wewe na ukoo wakoChangamoto zinatumaliza. Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaokotwa wewe na ukoo wakoChangamoto zinatumaliza. Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.
Kabisa mkuu hapa lugalo ni shida kiongoziKuna vigogo wengi sana hali zao ni mbaya sana hapo Muhimbili wanawekewa mitungi miwilimiwili,nakuhakikishia kuwa bado kidogo sana tutakubali kuwa Corona ni tatizo!
Wametuletea virus vikali zaidiChangamoto zinatumaliza. Ule utabiri wa billgates kuwa tutaanza kuokota miili barabarani unakaribia kutimia.
Hali si hali injiniaTuendelee kuchukua tahadhari kama wanavyoshauri wizara ya afya
Hmmm kamanda..natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
This time ni kua watu wameamua kua wanatoa taarifa ya kila kifo, mwisho wa siku watu wanahusisha na ugonjwa uliopo... hata kabla ya corona vifo vilikua vingi tu at the very same rate!, ila watu hawakua wanachangamkia kueneza habari kama saivi!, Imagine ndugu yangu ww mwana jf ukifa saivi taarifa yako kila mtu anaishare, hata kama ulikufa a natural death!..Sawa watu wanakufa kila siku lakini this time duh...
Nikilipoti matukio Mimi ni vedasto MSUNGU itv morogoroMwandishi mkongwe wa habari za mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia kwa changamoto ya upumuaji huko Morogoro Hospitali ya Rufaa
Mwandishi Vedastus Sungu alikuwa akipatiwa tiba kwenye Hospitali ya SUA, hali yake ilipozidi kuwa tete sana akahamishiwa Hospitali ya Rufaa Morogoro ward number 4 mpaka umauti ulipomkuta.
Chanzo: Radio One.
Kuna mwamba COSMAS MAKONGOOAnaitwa Vedasto Msungu mmoja kati ya maripota bora wa ITV kwa miaka ile ya mwanzoni wa 2000 kando ya akina Adam Akyoo, George Maratooo, Afu ukute sasa habari inasomwa na akina Betty Mkwasa, Julius Nyaisanga au Asha Mtwangi. ITV ilikuwa moto sana
RIP Msungu
Samahani mkuu, naomba unitafutie kauli ya mh. raisi au washirika wake akisema Corona haipo Tanzania!.Nakuhakikishia kuwa hatutatatua tatizo la Corona kwa kujidanganya kuwa halipo!Huwezi kusema kuwa amekufa kwa natural death sijui umri ulikuwa umeenda wakati kilichomuua ni Corona ambayo tungeweza kupambana nayo kama Taifa.Nakuhakikishia kuwa tutaendelea kupukutika kama Nzige waliopigwa sumu hadi pale tutakapokubali kuwa tuna tatizo.View attachment 1704788
wako wodi zipi mkuu!?.. nipite kuwaangalia nkiingia hapo MNH?.Kuna vigogo wengi sana hali zao ni mbaya sana hapo Muhimbili wanawekewa mitungi miwilimiwili,nakuhakikishia kuwa bado kidogo sana tutakubali kuwa Corona ni tatizo!
View attachment 1704769
Mwandishi wa Habari wa vituo vya ITV/Radio One Vedasto Msungu amefariki dunia jioni hii saa 11 katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
Source: ITV
Kibarua chako ni kutoa roho za watu?wako wodi zipi mkuu!?.. nipite kuwaangalia nkiingia hapo MNH kibaruani??.