Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa ushauri kama wewe ndio ungekuwa stone ungefanya niniPole sana kwa wafiwa. Tunamshukuru sana Seif kwa kujitangaza mapema kuwa ana COVID na tayari naye kaenda zake na huyu ndiye alisalimiana na Stone Tangawizi kwa mateke. Stone Tangawizi yeye bado amekomaa kwamba ugonjwa huo ni hofu tu. Siku ukipiga hodi chumbani kwake ndipo atapata fahamu
Hatakama kuna ongezeko la kushare habari za vifo, hali ya sasa mitaani tuu tunajionea ongezeko la vifo lisilo la kawaida, achilia mbali idadi ya wagonjwa ma hospitalini.This time ni kua watu wameamua kua wanatoa taarifa ya kila kifo, mwisho wa siku watu wanahusisha na ugonjwa uliopo... hata kabla ya corona vifo vilikua vingi tu at the very same rate!, ila watu hawakua wanachangamkia kueneza habari kama saivi!, Imagine ndugu yangu ww mwana jf ukifa saivi taarifa yako kila mtu anaishare, hata kama ulikufa a natural death!..
Kuna mwamba COSMAS MAKONGOO
unafanya kazi hospitalini?.Hatakama kuna ongezeko la kushare habari za vifo, hali ya sasa mitaani tuu tunajionea ongezeko la vifo lisilo la kawaida, achilia mbali idadi ya wagonjwa ma hospitalini.
Mm mwenyewe nilikuwa muhanga, nashukuru Mungu nimeponaunafanya kazi hospitalini?.
Pole sana mkuu, wakati ukiwa muhanga, ndo mlikua mmejaa hospitali?.Mm mwenyewe nilikuwa muhanga, nashukuru Mungu nimepona
Mkuu tamko la chama cha madaktari la kuelezea ongezeko la wagonjwa dizaini hiyo hukuliona?Pole sana mkuu, wakati ukiwa muhanga, ndo mlikua mmejaa hospitali?.
Mungu anusuru nchi yangu kwenye hili.. na tuendele kungoja miujiza maana ndipo ujingawetu ulipo
Chukua taadhari mwenyewe usisubiri matamkoSawa watu wanakufa kila siku lakini this time duh...
Ruhusu ubongo wako kufanya kazi mkuu. Samani lakiniMtaokotwa wewe na ukoo wako
Ya Viwonder...Tanzania ya Magufuli!