TANZIA Mwandishi Wa Habari, Vedasto Msungu afariki dunia

Georrggggggg Maratooooo
 
..Huyu huyu Vedasto Musungu ambaye mpaka juzi tu tulikuwa tukisoma habari zake na kuangalia picha zake Kyle Insta???
Dah! Kweli hali sio Njema. RIP Vedasto Musungu
 
natural death.by the way umri ulikuwa umesonga.rip
Nakuhakikishia kuwa hatutatatua tatizo la Corona kwa kujidanganya kuwa halipo!Huwezi kusema kuwa amekufa kwa natural death sijui umri ulikuwa umeenda wakati kilichomuua ni Corona ambayo tungeweza kupambana nayo kama Taifa.Nakuhakikishia kuwa tutaendelea kupukutika kama Nzige waliopigwa sumu hadi pale tutakapokubali kuwa tuna tatizo.
 
Kama ilivyokuwa kwa Pierre Nkurunzinza wa Burundi.
 
...Huyu huyu Vedasto Musungu ambaye mpaka juzi tu tulikuwa tukisoma habari zake na kuangalia picha zake Kyle Insta???
Dah! Kweli hali sio Njema. RIP Vedasto Musungu [emoji22][emoji22]
Mkuu
Tuendelee Kuchukua Tahadhali Zote
Hali Siyo Shwari, Hali Ni Tete Sana
Apumzike Kwa Amani
 
Nitamiss ile saut yake kuanzia radio one hd itv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…