TANZIA Mwandishi Wa Habari, Vedasto Msungu afariki dunia

RIP Kamanda. Tanzania haina corona au nasema uongo ndugu zangu.
 
RIP Kamanda. Tanzania haina corona au nasema uongo ndugu zangu.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Vedasto!! Mungu wa huruma, akupokee kwenye enzi yake.

Kama tungekuwa na uongozi thabiti, sijui kama kifo chako kingezuilika au hapana, hatujui. Tunaomba Mungu wetu wajalie hekima watawala japo ya siku moja, ili katika siku hiyo moja waliongoze Taifa katika kupambana na hili janga.
 
Habari wana JF,

Flying Jounalist Vedasto Msungu afariki Dunia ghafla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…