Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

Uzushi umekuwa mwingi sana. Ni ngumu kuamini
Aliyeleta habari hakufuatilia vzr, ila ipo utube Kwa kina na sio katekwa ila alikuwa anazuiliwa kurusha habari ya wananchi walioandamana Arusha na kufunga Barbara sbb Kuna watt 2 wametekwa hawajulikani walipo
 
Aliyeleta habari hakufuatilia vzr, ila ipo utube Kwa kina na sio katekwa ila alikuwa anazuiliwa kurusha habari ya wananchi walioandamana Arusha na kufunga Barbara sbb Kuna watt 2 wametekwa hawajulikani walipo
Asante madam, nimeisikia DW mchana wa leo.
Ila RC kama kafanya hayo kweli amekosea.
Alichopambana kuzuia ndicho kimepata coverage kubwa mpaka nje.
 
Mwandishi wa Milard Ayo wa Jijini Arusha Godfrey Thomas akiwa katika majukumu yake ya kawaida akiwarekodi wananchi walio funga barabara ya Arusha Dodoma.

Kwa madai ya kuchoshwa na vifo vya watoto kugongwa mara kwa mara na kupoteza Maisha ametekwa na kuchukuliwa vifaa vyake vyote vya kazi na kupelekwa pasipo julikana na msadiziwa wa Mkuu wa mkoa Paul Makonda mara baada ya kurekodi maandamano ya wanachi mpaka sasa mwandishi huyo ajulikani alipo na simu yake ukipiga inakatwa bila majibu.

View attachment 3100653
Boss wake millardayo ni chawa wa ccm
 
Asante madam, nimeisikia DW mchana wa leo.
Ila RC kama kafanya hayo kweli amekosea.
Alichopambana kuzuia ndicho kimepata coverage kubwa mpaka nje.
Amezingua sn niliamini kabadirika ss kanitia wasiwasi
Maana wale watu walikuwa wanataka kumnyang'anya camera
 
Back
Top Bottom