Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Mwandishi wa habari wa TBC mkoani Manyara, Joachim Kapembe amefariki dunia Desemba 13, 2022 akishuka kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
Kapembe aliungana na Waziri Nape Nnauye na viongozi wengine katika uzinduzi wa huduma ya intaneti kwenye kilele cha mlima huo.
Swahilitimes.