Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi.

Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka

View attachment 1396883

Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
Hilo gazeti halina tofauti na uhuru,au gazeti la musiba.kutwa kusifia tu huwezi kuona linaandika jambo la maana
Leo utaona limeweka picha za meko yuko juu ya mawe kama k...nge.
Hao ni waandishi waliojua kulamba miguu ya vilaza wa lumumba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyotukanwa na wapiga kura wao, Magufuli ndio angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Lumumba huwa wanataka kusifiwa tu,jamaa kamuambia ukweli.meko stress zimemzidi mpka analala kwenye mawe kma mjusi[emoji16][emoji16]
IMG_20200323_144352.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isee ww NI kiatu Kati ya watu huelew kitu [emoji23][emoji23]
Kidiplomasia wapo sahihi kwa 100%

Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible

Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya

Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi

Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hyo mtu akisema ukweli mna muona ni ccm?.
mimi magufuli uwa simkubali..
Lakini katika maneno ya siku ile kuhusu corona sijaona kosa lolote.
Mtu kasema "HAKUNA VIFO VILIVYOTOKEA KWA CORONA TANZANIA "

mtu anakuja anapanic.
sasa ulitaka aseme" WATU 100 WAMEFARIKI TANZANIA KWA CORONA WAKATI SIO KWELI".
ni kwamba mnaombea watu wafe au ni nini?.
Mjue nawashangaa.HAMPENDI UHALISIA..


Sent using Jamii Forums mobile app
Unakijua alichosema? Yeye anasema akiijumuisha JF wote wakati na yeye ni mwanachama humu ndio namshangaa.
 
Mwandishi husika amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kuelimisha umma kupitia taaluma yake. Alikuwa ni mmoja ya waandishi mahiri MCL.
Hata hivyo, inaonekana alishindwa kutambua mipaka yake katika maandishi yake katika mitandao ya kijamii.

Tukichukulia tweets zake za hivi karibuni kuwa nyuma ya matatizo aliyopata, ni dhahiri, kama mwandishi wa kampuni kubwa kama MCL, alishindwa kuchagua maneno katika kufikisha ujumbe.

Kwetu sote tunaotoa maoni yetu mitandaoni:tukosoe na tupinge bila kudhalilisha wala kudunisha utu wa mtu.
 
Mwandishi husika amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kuelimisha umma kupitia taaluma yake. Alikuwa ni mmoja ya waandishi mahiri MCL.
Hata hivyo, inaonekana alishindwa kutambua mipaka yake katika maandishi yake katika mitandao ya kijamii.

Tukichukulia tweets zake za hivi karibuni kuwa nyuma ya matatizo aliyopata, ni dhahiri, kama mwandishi wa kampuni kubwa kama MCL, alishindwa kuchagua maneno katika kufikisha ujumbe.

Kwetu sote tunaotoa maoni yetu mitandaoni:tukosoe na tupinge bila kudhalilisha wala kudunisha utu wa mtu.
Uko sahihi. He got carried away na lugha aliyokuwa anatumia si ya staha
 
namjua huyo jamaa nilishawahi kukutana naye manzese

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi.

Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka

View attachment 1396883

Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
Mjifunze kuzingatia masharti ya mikataba ya ajira.
Watanzania mmezidisha siasa hadi mnasahau nyinyi ni waajiriwa.

Kila mwandishi anajifanya mwanaharakati.

Wakenya "the CITIZEN" wako kikazi zaidi.
Na hapo wanazingatia hilo.terms & conditions.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya mbinu za Magufuli kupambana na corona kuonyesha mafanikio ni wakati mwafaka sasa huyu mwandishi aombe samahani kwa kuwa imeonyesha dhahiri nani kati yao alikuwa sahihi katika kupambana na hili janga
 
Baada ya mbinu za Magufuli kupambana na corona kuonyesha mafanikio ni wakati mwafaka sasa huyu mwandishi aombe samahani kwa kuwa imeonyesha dhahiri nani kati yao alikuwa sahihi katika kupambana na hili janga
Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko Khalifa kuomba samahani.

Kuhusu Magufuki na hayo unayoyaita mafanikio.

Katika tafiti za sayansi kuna msemo kwamba, correlation does not equal causation.

Unaweza kuumwa kichwa, ukanywa mkojo, ukapona kichwa.

Hilo halimaanishi mkojo ni dawa ya kichwa.

Kusema kitu kimeponya inabidi uoneshe causation, si correlation tu.
 
Nchi ilipita msoto yani kusema 1+1=2 kama dikteta akisema ni 3 basi weww uibebe hata kama kakosea.

In the name of the president indeed.
 
Back
Top Bottom