Sio kabla wametumia tarehe ya nyuma waonekane walishamfukuza.Inaonekana walisha mwachisha kazi kabla ya hotuba ya Rais. Hiyo barua inaonesha tarehe 20/3/2020, wakati hotuba ilikuwa ya tarehe 22/3/2020
Hilo gazeti halina tofauti na uhuru,au gazeti la musiba.kutwa kusifia tu huwezi kuona linaandika jambo la maanaMwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi.
Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka
View attachment 1396883
Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
Lumumba huwa wanataka kusifiwa tu,jamaa kamuambia ukweli.meko stress zimemzidi mpka analala kwenye mawe kma mjusi[emoji16][emoji16]Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyotukanwa na wapiga kura wao, Magufuli ndio angekuwa wao angekufa kwa pressure.
KomoroHuyo kijana ni raia wa wapi?
Kidiplomasia wapo sahihi kwa 100%
Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible
Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya
Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi
Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%
Unakijua alichosema? Yeye anasema akiijumuisha JF wote wakati na yeye ni mwanachama humu ndio namshangaa.Kwa hyo mtu akisema ukweli mna muona ni ccm?.
mimi magufuli uwa simkubali..
Lakini katika maneno ya siku ile kuhusu corona sijaona kosa lolote.
Mtu kasema "HAKUNA VIFO VILIVYOTOKEA KWA CORONA TANZANIA "
mtu anakuja anapanic.
sasa ulitaka aseme" WATU 100 WAMEFARIKI TANZANIA KWA CORONA WAKATI SIO KWELI".
ni kwamba mnaombea watu wafe au ni nini?.
Mjue nawashangaa.HAMPENDI UHALISIA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi. He got carried away na lugha aliyokuwa anatumia si ya stahaMwandishi husika amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kuelimisha umma kupitia taaluma yake. Alikuwa ni mmoja ya waandishi mahiri MCL.
Hata hivyo, inaonekana alishindwa kutambua mipaka yake katika maandishi yake katika mitandao ya kijamii.
Tukichukulia tweets zake za hivi karibuni kuwa nyuma ya matatizo aliyopata, ni dhahiri, kama mwandishi wa kampuni kubwa kama MCL, alishindwa kuchagua maneno katika kufikisha ujumbe.
Kwetu sote tunaotoa maoni yetu mitandaoni:tukosoe na tupinge bila kudhalilisha wala kudunisha utu wa mtu.
Mjifunze kuzingatia masharti ya mikataba ya ajira.Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi.
Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka
View attachment 1396883
Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
Kwani alisema Nini?
Kwa comment hii kwani hajaswekwa ndani?!kafanya kosa la kumkosoa Muumba..
dhambi zote za mikusanyiko isiyo rasmi zitasamehewa, ila dhambi ya kumkosoa Muumba haitakuacha salama. View attachment 1396926
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko hawachukui makanjanja ...wanachukua professionals wa.taaluma husika...I wish vyombo vikubwa vya habari duniani vimchukue huyu jamaa.
kuwekwe ndani na kuachishwa kazi kipi kizito?.Kwa comment hii kwani hajaswekwa ndani?!
Huko hawachukui makanjanja ...wanachukua professionals wa.taaluma husika...
Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko Khalifa kuomba samahani.Baada ya mbinu za Magufuli kupambana na corona kuonyesha mafanikio ni wakati mwafaka sasa huyu mwandishi aombe samahani kwa kuwa imeonyesha dhahiri nani kati yao alikuwa sahihi katika kupambana na hili janga