Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

Inaumiza sana. Huyu mwandishi ni jamaa yangu wa karibu sana. Nimeshtushwa na hizi habari pia huyu ni mwana jf mwenzetu kabisa .

Wacha bana!!! anatumia jina gani humu? daah nouma kweli mi naenda Ifakara wameshavuna mpunga naenda kula pepeta na somba
 
Mku sijakuelewa una maanisha nini ebu nielewishe kwani mm binadamu
Tafakari kwa kina mkuu, "soma katikati ya mistari".Ni kweli mpaka sasa haujajua hao waliomfanyia upekuzi na kuondoka nae ni wakina nani?
 
Tafakari kwa kina mkuu, "soma katikati ya mistari".Ni kweli mpaka sasa haujajua hao waliomfanyia upekuzi na kuondoka nae ni wakina nani?
Mku hii mambo ni hatari sana na haya yanafanyika Viongozi Wastafu na wa imani wako kipya. Nchi ni moja haya yanayifanyika watu wanayajadili na kupata majibu ambayo sio mstakabali mzuri kwa nchi yetu
 
Pengo na sheikh musa wote wanafiki wapo tayari kondoo wapotee mradi washibishe matumbo yao
 
Tafakari kwa kina mkuu, "soma katikati ya mistari".Ni kweli mpaka sasa haujajua hao waliomfanyia upekuzi na kuondoka nae ni wakina nani?

Mkuu nijuze ni akina nani hao wameondoka nae ama kumteka? daah Tanzania yetu ngoja niombe kwa Mungu kwa hisia kwanza
 
Vizuri uongozi MCL ,wametimiza wajibu wao.Tuviachie vyombo vya usalama vitatupa mrejesho.
 
Mku hii mambo ni hatari sana na haya yanafanyika Viongozi Wastafu na wa imani wako kipya. Nchi ni moja haya yanayifanyika watu wanayajadili na kupata majibu ambayo sio mstakabali mzuri kwa nchi yetu
Nimejitahidi kukuelewa hivyo hivyo tuu
 
Inabidi tuanze kuwa na utamaduni wa kunakili namba za magari (na picha pale tunapoweza) na kuwatumia watu wetu wa karibu pale tunapoitwa kwenye shughuli za dharura na hata kama tutaongozana na watu tunaowajua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…