min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!Hata ya nyuma hamna ashapigwa kinyeo
Mahari million 30 na single maza wa wababa wawili…. Zaidi maex, hit & run anajaza SGR 😹😹Kataa ndoa tuna ingiaje humo, Na wewe?
😬😬Hizi nyuzi zimetosha sasa.
Tuwaache wasije kujing'ata katikati ya honeymoon.
Kwa wale manguli waliopita, lazima yas ipigwe kibishi.Hata ya nyuma hamna ashapigwa kinyeo
Jambo jema, maamuzi yao yanapaswa kuheshimiwa .Mahari million 30 na single maza wa wababa wawili…. Zaidi maex, hit & run anajaza SGR 😹😹
Masijala naweka kumbukumbu sawa 🤣
kwani wazazi ndo wanaooa? hadi wawepo kwenye ndoa.Wazazi na ndugu wa Aziz Kiii hawakuhusika kwa lolote kuanzia 1. Posa , 2. Mahari, 3. Engagement hadi Ndoa. Yaani Wazazi na ndugu wa Aziz ni timu ya Yanga.
Kwa familia inayojitambua isingeruhusu hili jambo lifanyike bila uwepo au uhusika wa wazazi na ndugu wa bwana harusi. Wazazi wa Hamisa wasingemuendekeza binti yao( anyway wazazi wa kishua hawa).
Jux juzi tu kafunga ndoa yenye heshima na Baraka zote za wazazi wa pande zote mbili.
Mwanetu Hamisa inawezekana lengo lako wewe na Mama yako ni kutimiza heshima ya ndoa, LAKINI BARAKA ZA WAZAZI WA KII NI MUHIMU SANA.
Hivi kweli mzazi anashuhudia matukio ya sherehe za ndoa ya mwanaye kupitia mitandaoni!!!!!
Hizo kelele za mama mlezi na wengine ni kwa sababu Afrika ukishakuwa na mafanikio kidogo tu ukoo mzima mambo yako yanaanz akuwa everybody's business hata kama walikuwa hawakujali.Muhimu ndoa imepita, single maza kaolewa kwa kishindo..!!
Hizi blah blah zenu hazitawapa uponyaji kataa ndoa….!! Aiiiihyyy nyie huku Hamisa kaweza 😹😹
Wafurahi wakati wa sasa mambo ya kudumu hata binadamu pia hadumu humu duniani.Mama anasema anashangaa binti kukubali kuolewa bila kupelekwa ukweni kutambulika....
Inaonesha hii ndoa mama wa Aziz K alikuwa anakacha then Aziz K kaforce
Kwa yaliyonikuta Mimi,niseme ukweli ndoa na mwitikio wa ndugu ndiyo ndoa idumuyo
YeahWafurahi wakati wa sasa mambo ya kudumu hata binadamu pia hadumu humu duniani.
Mwanangu demu mkali akiwa kwa mwenzio. Subiri awe wako ujue yaliyomo ndani.Nimeona ile pisi aliozaa nayo mtoto huko Bukinabe daah bonge la pisi, daah wanaume sisi huwa tunaruka mikojo na tunakanyaga kimbaz...
Aziz Ki angewashirikisha ndugu zake kikamilifu, hapangefanyika ndoa, kwasabb wangemshauri aepuke kikombe hiki na wasingekubali kijana wao kubeba mzigo wa watoto wa baba wawili tofauti dhidi ya anaekusudia kumuoa unless angekua nae ameshamfyatua hata watoto wawili pia 🐒Wazazi na ndugu wa Aziz Kiii hawakuhusika kwa lolote kuanzia 1. Posa , 2. Mahari, 3. Engagement hadi Ndoa. Yaani Wazazi na ndugu wa Aziz ni timu ya Yanga.
Kwa familia inayojitambua isingeruhusu hili jambo lifanyike bila uwepo au uhusika wa wazazi na ndugu wa bwana harusi. Wazazi wa Hamisa wasingemuendekeza binti yao( anyway wazazi wa kishua hawa).
Jux juzi tu kafunga ndoa yenye heshima na Baraka zote za wazazi wa pande zote mbili.
Mwanetu Hamisa inawezekana lengo lako wewe na Mama yako ni kutimiza heshima ya ndoa, LAKINI BARAKA ZA WAZAZI WA KII NI MUHIMU SANA.
Hivi kweli mzazi anashuhudia matukio ya sherehe za ndoa ya mwanaye kupitia mitandaoni!!!!!
Labda mwamba kapewa tope. KadataMama anasema anashangaa binti kukubali kuolewa bila kupelekwa ukweni kutambulika....
Inaonesha hii ndoa mama wa Aziz K alikuwa anakacha then Aziz K kaforce
Kwa yaliyonikuta Mimi,niseme ukweli ndoa na mwitikio wa ndugu ndiyo ndoa idumuyo
😂😂😂😂 daah 🙌Hizi nyuzi zimetosha sasa.
Tuwaache wasije kujing'ata katikati ya honeymoon.
😂😂😂😂😂😂🤣😂🤣🤣😂🤣🤣😂😂😂Ndio! Au hujui kua Hamisa ni bikr@
Mbona aziz ki anao wawili piaAziz Ki angewashirikisha ndugu zake kikamilifu, hapangefanyika ndoa, kwasabb wangemshauri aepuke kikombe hiki na wasingekubali kijana wao kubeba mzigo wa watoto wa baba wawili tofauti dhidi ya anaekusudia kumuoa unless angekua nae ameshamfyatua hata watoto wawili pia 🐒