Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahawacha askofu fake akanyonywe kinyesi mahabusu ndiyo atakoma akitoka huko badara ya kuchunga kondoo yeye anachunga siasa
Wanaharakati wa Twitter wanapwaya Diamond akionyesha magari yake tu wanatoka reliniHaya faster, twende Twitter kupush hashtags.
#FreeLwaitama
#FreeMwamakula 🤣🤣
Na unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?wacha askofu fake akanyonywe kinyesi mahabusu ndiyo atakoma akitoka huko badara ya kuchunga kondoo yeye anachunga siasa
View attachment 1856800
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Nilishasema cheo cha wakuu wa mikoa na wilaya kifutwe hakina faida maana hao jamaa niwanachama wa CCM.View attachment 1856800
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Kutoka kifungu gani, ibara ya ngapi?tutii sheria..
Bila shurtitutii sheria..
Huyo ni CCM ndio maana anaandika utumbo wa ngurueNa unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?
Amandla...
Kusema tu haiwezi kusaidia. Ingia barabarani Mkuu.Nilishasema cheo cha wakuu wa mikoa na wilaya kifutwe hakina faida maana hao jamaa niwanachama wa ccm