mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mzanzibar anaturudisha Chato
Chato ni Tanzania na mZanzibar ni mtanzania
Usiogope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzanzibar anaturudisha Chato
Tuishi kwa Sheri au kwa matamko?Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Wasio na bunduki wanaonyeshanaje umwamba na wenye mitutu ?Mimi sitetei shetani yoyote. Ndio maana hata siku moja siwezi kutetea mtu anaeonea watu tu kiubinadamu, kwakuwa mimi ni muumini wa UTU.
Ila nyinyi WANASIASA mnachokifanya ni kuoneshana UMWAMBA.
Kwahiyo hapo sina NENO.
Ndio tatizo lilipowatakuja kuelewa tu tatizo hata huyo mbunge wao wa nkasi hawamtambui sijui wanataka wakaweke mikutano jimboni kwa nani
huwezi kuelewa nilichomaanishaChato ni Tanzania na mZanzibar ni mtanzania
Usiogope
Actually makongamano na mikutano ni haki ya kikatiba, bila kibali.
Kuna utaratibu wa kutoa taarifa polisi kama unahitaji ulinzi wa polisi.
Ukianza kuweka habari za vibali unaanza kuiminya haki ya kikatiba.
Sumbawanga ni jimbo la muenezi shaka????Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Inawezekana katika 50,ukawa peke yakoMimi niko Tayari, [emoji58][emoji112]
Linalowezekana ilimradi nchi isonge mbeleTuishi kwa Sheri au kwa matamko?
Mbona wakati wa magu hawakudhubutuManyang'au bado yanaendeleza udhalimu
Mungu uwe pamoja na hao maaskofu
Sawa keyboard worriesHivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Kama ambavyo na wewe hunielewi nilichomaanisha🤣🤣🤣🤣🤣huwezi kuelewa nilichomaanisha
Mbowe yuko Tayari. Nitamuunga mkono.hao viongozi wa kitaifa ulishaona mbowe anaenda kuandamana? anawachochea nyie msio naakili halafu yeye anaenda dubai anasikilizia mnaandamana au mmegoma na nyinyi kama kipindi cha uchaguzi kilipoisha
Nilishasema cheo cha wakuu wa mikoa na wilaya kifutwe hakina faida maana hao jamaa niwanachama wa ccm
Hivi ccm wanaomba kibali wapi ?Walikua na kibali?
Sababu sio siasa tuu hata lingekua kongamano la mashekhe, mapadre au wachungaji bila kibali wangekamatwa tuu
This time, hatucheki na Nyani na kima.Sawa keyboard worries
Vyama vya siasa havikusajiliwa kufanya siasa kimafungu.nivyama vinatambulika kitaifa na wananchi wapo popote nchini.Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Taarifa ya polisi ni kwa minajili ya kupewa ulinzi wa polisi.Nilikua namaanisha hiyo taarifa ya police walitoa? Na police waliwajibu?