Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.

CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Tuishi kwa Sheri au kwa matamko?
 
Mimi sitetei shetani yoyote. Ndio maana hata siku moja siwezi kutetea mtu anaeonea watu tu kiubinadamu, kwakuwa mimi ni muumini wa UTU.

Ila nyinyi WANASIASA mnachokifanya ni kuoneshana UMWAMBA.

Kwahiyo hapo sina NENO.
Wasio na bunduki wanaonyeshanaje umwamba na wenye mitutu ?
 
Actually makongamano na mikutano ni haki ya kikatiba, bila kibali.

Kuna utaratibu wa kutoa taarifa polisi kama unahitaji ulinzi wa polisi.

Ukianza kuweka habari za vibali unaanza kuiminya haki ya kikatiba.

Nilikua namaanisha hiyo taarifa ya police walitoa? Na police waliwajibu?
 
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.

CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Sumbawanga ni jimbo la muenezi shaka????
 
Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Sawa keyboard worries
 
hao viongozi wa kitaifa ulishaona mbowe anaenda kuandamana? anawachochea nyie msio naakili halafu yeye anaenda dubai anasikilizia mnaandamana au mmegoma na nyinyi kama kipindi cha uchaguzi kilipoisha
Mbowe yuko Tayari. Nitamuunga mkono.
Na kipindi hicho nilikuwa mjinga kama wewe, sasa nimeelimika. Karibu tudai haki yetu. [emoji58]
 
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.

CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Vyama vya siasa havikusajiliwa kufanya siasa kimafungu.nivyama vinatambulika kitaifa na wananchi wapo popote nchini.
Tanzania haina tabia ya uchochezi,ila tukienda kwa mfumo huu ni bora kuishi kama hatuna katiba
 
Nilikua namaanisha hiyo taarifa ya police walitoa? Na police waliwajibu?
Taarifa ya polisi ni kwa minajili ya kupewa ulinzi wa polisi.

Kama huna haja ya ulinzi wa polisi, hususan kama hutumii public grounds, hata taarifa ya polisi si lazima.

Ila, kibongobongo hiyo taarifa ya polisi ndiyo imefanywa kama kuomba kibali cha polisi. Kitu ambacho kisheria hakipo na kinaondoa haki ya kikatiba.
 
Back
Top Bottom