At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Sawa. Inahitajika influenceNa wenzio walioguswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Inahitajika influenceNa wenzio walioguswa.
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Watanzania kwenye mitandao utawapenda sana?!Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Bimkubwa anaupiga mwingi mpk anaanza kujifunga magoli yeye mwenyewe, rasmi nimeanza kumchukia.Mara ya mwisho walipomkamata Baba Askofu tulizika kichaa
Uaskofu umekuwa ni uanasiasa.Gwajima anafanya nini siku hizi?
Watawaachia bila masharti yoyote
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Nakwambia hivi.Polisi wanatoa ulinzi pale wanapojihakikishia jambo halina madhara wala athari kwa wenye jambo lao au jamii. Hawawezi ona usalama wa jambo haupo halafu wakaruhusu lifanyike na wao wakapeleka ulinzi
Eti eeh. Tufanye kweli basiWatanzania kwenye mitandao utawapenda sana?!
Waumini ndio haohao wanachama.. Sijui gwajima na marehemu mama Lwakatare ni akina nani?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Ni, ndani ndio maana hapo kuna sehemu. Nikasema ilibidi hapo waliokuwepo wasikubaliane pachafuke.Mikutano ya ndani ni tofauti na ya hadhara
Komano hilo kwa picha uliyoiona ni ndani au nje?
...anaupiga mwingi sana...🤣🤣🤣🤣Shetani hana rafiki, endelea kuchekelea uovu, zamu yako itafika
Wataingia kama tuu wataona hali hatarishi kwa wahusika au jamiiNakwambia hivi.
1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji.
2. Kama hauhitaji ulinzi wa polisi, hususan kama hautumii public grounds, anaendelea na mkutano. Hahitaji kutoa taarifa polisi. Hii ni haki yake ya kikatiba.
3. Kama anahitaji ulinzi wa polisi, anahitaji kutoa taarifa polisi.
Sasa mtu akiishia namba mbili hapo juu, polisi wanaingiaje hapo?
Never and Never Again.Wasio na bunduki wanaonyeshanaje umwamba na wenye mitutu ?
MATAGA na Sukuma Gang wanakomeshwa🤣🤣🤣🤣Mama anaupiga mwingi