Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Hizi dalili sio nzuri kabisa
Maumivu juu ya maumivu
Hivi chama tawala hakuna washauri?Sisi sote niwatanzania wapenda amani
Mbona hilo kongamano lingefanyika nakupita kama makongamano mengine,na isitoshe hats baadhi ya umma wasingejua nini kinaendelea
 
Kwakua huo mkutano haujadili kuhusiana na tozo basi ni sawa tu kilichofanyika.
 
Wataingia kama tuu wataona hali hatarishi kwa wahusika au jamii
Usalama wa raia
Hapana.

Tanzania polisi inatumika kisiasa.

Wameingia kwa sababu rais kasema, kinyume na katiba, kwamba mijadala ya katiba isimamishwe nchi itengeneze uchumi. Bila kutoa timeline wala metrics.

Rais kavunja katiba kwa kujipa nguvu ambazo hana na kukatqza mijadala ya katiba, kitu ambqcho ni haki za kikatiba.

Na hawa mbwa wake wanaoitwa polisi wanataka kuonekana wanafuata amri ya mkubwa wao tu, bila kujali katiba.
 
Polisi wanatoa ulinzi pale wanapojihakikishia jambo halina madhara wala athari kwa wenye jambo lao au jamii. Hawawezi ona usalama wa jambo haupo halafu wakaruhusu lifanyike na wao wakapeleka ulinzi
Wenye akili za namna hiyo siku ya siku ,isitokee ukaja kulialia hapa,kwani kwa kawaida mtu mbinafisi anawaza kuwaza kuwamaisha hayata badilika na yatafanana siku zote, kwakuwa anaona manufaa ya sasa , na uhakika wa Maisha yake, kwakawaida binadamu ni muungwana ila ukatili anafunzwa na wengine.
 

Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya

Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya

Pia soma
Mikutano ya HADHARA IMEZUILIWA lakini CCM wanafanya
Mikutano ya Ndani IMERUHUSIWA lakini CHADEMA wana KAMATWA Tatizo ni NINI HASWA?
JamiiForums-1005591240.jpg
 
Hapana.

Tanzania polisi inatumika kisiasa.

Wameingia kwa sababu rais kasema, kinyume na katiba, kwamba mijadala ya katiba isimamishwe nchi itengeneze uchumi. Bila kutoa timeline wala metrics.

Rais kavunja katiba kwa kujipa nguvu ambazo hana na kukatqza mijadala ya katiba, kitu ambqcho ni haki za kikatiba.

Na hawa mbwa wake wanaoitwa polisi wanataka kuonekana wanafuata amri ya mkubwa wao tu, bila kujali katiba.
Hapa shida sio Rais.

Hata zamani tuliaminishwa kwamba shida ni Magufuli.

Leo Magufuli hayupo, amekuja Samia — Na yeye anaendelea kuupiga mwingi vile vile (kwa kadiri ya msemo wa nyumbu).

Hapa shida ni kubwa kuliko Rais. Ni mfumo wa kipolisi ulioundwa kulinda madaraka ya watawala na cabals.

Msipojua tatizo ni nini, mtakuwa mnapigana na watu ambao hata hawahusiki.

Huyo Samia ni kivuli tu pale.
 
Hapa shida sio Rais.

Hata zamani tuliaminishwa kwamba shida ni Magufuli.

Leo Magufuli hayupo, amekuja Samia — Na yeye anaendelea kuupiga mwingi vile vile (kwa kadiri ya msemo wa nyumbu).

Hapa shida ni kubwa kuliko Rais. Ni mfumo wa kipolisi ulioundwa kulinda madaraka ya watawala na cabals.

Msipojua tatizo ni nini, mtakuwa mnapigana na watu ambao hata hawahusiki.

Huyo Samia ni kivuli tu pale.
Kauli za kishujaa kama Never and Never again, Hatutakubali tena, Tunashinikiza ndio zinasababisha wanajilinda na kutaka kuonesha Umwamba kwamba wana uwezo wa kufanya chochote na huna uwezo wa kuwafanya chochote.

Cha kushangaza watu wanatoa hizo kauli halafu wanabaki kulia lia kama mbwa koko badala ya ku-take action.
 
Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Mama a aupiga mwingi
 
Kauli kama Never and Never again, Hatutakubali tena, Tunashinikiza ndio zinasababisha wanajilinda.

Cha kushangaza watu wanatoa hizo kauli halafu wanabaki kulia lia kama mbwa koko badala ya ku-take action.
Wewe umefanya nini,Hadi sasa zaidi ya kuwaimbia mapambio hao waajiri wako hapo mtaa wa kijani.Na kuwaachia akili hapo kunako geti la kuingia hapo.
 
Wewe umefanya nini,Hadi sasa zaidi ya kuwaimbia mapambio hao waajiri wako hapo mtaa wa kijani.Na kuwaachia akili hapo kunako geti la kuingia hapo.
Mimi sina cha kufanya ndio maana sioneshi kama naweza kufanya chochote.
 
Hapa shida sio Rais.

Hata zamani tuliaminishwa kwamba shida ni Magufuli.

Leo Magufuli hayupo, amekuja Samia — Na yeye anaendelea kuupiga mwingi vile vile (kwa kadiri ya msemo wa nyumbu).

Hapa shida ni kubwa kuliko Rais. Ni mfumo wa kipolisi ulioundwa kulinda madaraka ya watawala na cabals.

Msipojua tatizo ni nini, mtakuwa mnapigana na watu ambao hata hawahusiki.

Huyo Samia ni kivuli tu pale.
Inawezekana pia ikawa shida ni mfumo na shida ni rais.

Kwa sababu, kwa mfumo wetu top heavy, rais ndiye mtu anayeweza kubadili mfumo kirahisi kuliko mtu yeyote. Kwa hivyo, hata kama una shida ya kimfumo, ukiwa na rais progressive ndiye qnayeweza kuubadili mfumo kirahisi kabisa. Na ukiwa na rais asiyejitambua, ndiye anayeweza kuudhoofisha mfumo zaidi kirahisi kabisa.

We unafikiri rais alipoulizwa kuhusu marufuku ya mikutano ya kisiasa angejibu kwa kusema

"Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa utawala wa sheria, na hivyo inqongozwq kwa kutumia katiba. Katiba yetu inatoa uhuru wa watu kukutana. Mimi rais nimeqpa kuitetea katiba na kwa hivyo ninatetea uhuru huu wa kikatiba wa watu kukutana, watu wanaruhusiwq kukutana kama ilivyoelezwa katika katiba"

Angesema hivyo, polisi wangepata nguvu ya kufanya kiherehere kukamata watu wanaofanya mikutano inayoruhusiwa na haki za kikatiba?

Polisi wamepata nguvu kuingikia mikutano kwa sababu rais kasema mikutano ya kisiasa isiyo ya wqbunge majimboni mwao bado ni marufuku.
 
Back
Top Bottom