Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huyu mupe yure muruke...!!!Mikutano ya HADHARA IMEZUILIWA lakini CCM wanafanya
Mikutano ya Ndani IMERUHUSIWA lakini CHADEMA wana KAMATWA Tatizo ni NINI HASWA?View attachment 1856838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mupe yure muruke...!!!Mikutano ya HADHARA IMEZUILIWA lakini CCM wanafanya
Mikutano ya Ndani IMERUHUSIWA lakini CHADEMA wana KAMATWA Tatizo ni NINI HASWA?View attachment 1856838
Kuna kujikomba na kua mwelewa, tofautisha hizo.Kwa mujibu wa wewe,kwani lazima kujikomba kwa boss ili ugali upatikane,ila tambua huo ni utumwa.
Kuna Mambo nayaona mpaka mda huu hayako sawa ndani ya taifa
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Acheni ujinga, ccm huwa wanaomba vibali? nionyeshe hata kibali kimojaWalikua na kibali?
Sababu sio siasa tuu hata lingekua kongamano la mashekhe, mapadre au wachungaji bila kibali wangekamatwa tuu
Mkuu akili yako mixer kinyesiNaomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Uwe mwelewa usiwe mwelewa pambana na hali yako.Kuna kujikomba na kua mwelewa, tofautisha hizo.
Ukweli usio na kificho.Kuna Mambo nayaona mpaka mda huu hayako sawa ndani ya taifa
Virungu ndio vinafanya hamna mtu anaingia road!Upo tayari kuhumili vile virungu lakini😂😂
Hamuwezi ipata sababu hawatakaa wawape wao wananufaika na huo uhuni! Maamuzi ya kiume ni kuputa mchanga na kukiwasha tu kama Mwembe chai😅😅😅 mwaka 1996Ndip maana tunaitaka Katiba mpya ili iweze kukomesha huu uhuni.
Hio ndio yako. Ewe kima..!Mkuu akili yako mixer kinyesi
Mtaelewa tu,Uwe mwelewa usiwe mwelewa pambana na hali yako.
Ukweli usio na kificho.
Tangulia mtaani sie tunakusapoti mkuu huu uhuni haukubaliki! Wacha nijiunge 3GB hapa mzee baba.Kwa hiyo nini kifanyike.
Niende pekee anga Barabarani.?
Sio uvae mavazi tayari kwa Vita..!Tangulia mtaani sie tunakusapoti mkuu huu uhuni haukubaliki! Wacha nijiunge 3GB hapa mzee baba.
Ninachojua kumwelimisha Sgang nimzigo bora kuhangaikia mengine, kwani muda ni mali.Mtaelewa tu,
Hata darasani kuna slow learners.
Duh! hiyo akili ya kuelemisha mtu umeitoa wapi ilihali elimu huna!Ninachojua kumwelimisha Sgang nimzigo bora kuhangaikia mengine, kwani muda ni mali.
Huyo na mfananisha na wagonga meza haramu.Kumbe na wewe ni mjinga hivyo? Kwani kongamano ni mkutano wa hadhara?
Pumbavu kabisa!
Majini yote yatazikwa.Mara ya mwisho walipomkamata Baba Askofu tulizika kichaa
Wewe unayo waelimishe wenzio mlio na akili na mirengo inayofanana mtaelewana.Duh! hiyo akili ya kuelemisha mtu umeitoa wapi ilihali elimu huna!
Uneshamaliza kushabikia looting ya KZN?Shetani hana rafiki, endelea kuchekelea uovu, zamu yako itafika