nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Nzuri ni hii "polisi wamevamia raia wasio na uelewa"Sema fisi wamevamia raia wazalendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri ni hii "polisi wamevamia raia wasio na uelewa"Sema fisi wamevamia raia wazalendo.
Hahahha.. Anafuta legacy!Anawakomesha MATAGA na SUKUMA GANG. [emoji58][emoji112]
Huwa mnaandamia tweeterHivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahha.. Anafuta legacy!
Kwa mujibu wa wewe,kwani lazima kujikomba kwa boss ili ugali upatikane,ila tambua huo ni utumwa.Nzuri ni hii "polisi wamevamia raia wasio na uelewa"
Hii nchi iko siku itaweka historia nyingine.kuna muda utafika watu wataandamana kwa namna nyingine mbaya zaidi.Na kadri siku zinavyoenda ndivyo ambavyo tuko karibu.Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
No Barabarani. Twende niunge mkono katika kudai haki.Huwa mnaandamia tweeter
Acha inyesheHii nchi iko siku itaweka historia nyingine.kuna muda utafika watu wataandamana kwa namna nyingine mbaya zaidi.Na kadri siku zinavyoenda ndivyo ambavyo tuko karibu.
Mnafiki na mwongo huwa kutunza kumbukumbu kwake ni mzigo.Si juzi tu wamewaambia EU wanasimamia domokazia!
Jinga hiloNa unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?
Amandla...
Waambie waongeze juuhudi za kuandaa kuni za kuwasha moto.Hii nchi iko siku itaweka historia nyingine.kuna muda utafika watu wataandamana kwa namna nyingine mbaya zaidi.Na kadri siku zinavyoenda ndivyo ambavyo tuko karibu.
Katiba wasubiri kidogo tuandamane kupinga upuuzi wa makato mapya
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Katiba ya nchi ni siasa?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Huoni kama jina linafanana na mawazo ya mhusika?Katiba ya nchi ni siasa?
Amka usingizini ukaangaze
Hicho kinachoitwa kibali ndio mbinu ya wakoloni kuongoza bila waradhaa ya raia.Walikua na kibali?
Sababu sio siasa tuu hata lingekua kongamano la mashekhe, mapadre au wachungaji bila kibali wangekamatwa tuu
Kumbe Gwajima yeye ni Malaika eegh wewe mbuzi?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Hapana kwa dar mtatusamehe kambi za wajeda ni nyingi yaani mtatukuta vilema robo tatu nzimaHivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Atiii [emoji3]Hapana kwa dar mtatusamehe kambi za wajeda ni nyingi yaani mtatukuta vilema robo tatu nzima