Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Anza sasa kukinukisha utaungwa mkono, watu wanasubili wa kuanzisha, sasa anza ili watu wafuatie.
Ukiona vigumu kuanza ujue na mwenzako nae anaona vigumu kuanza.
 
Ndugu, Siasa ni maisha, huoni hao wabunge wa mataga wanavyojipitishia sheria za hovyohovyo sasa hivi ?, makato ya huduma za simu wewe unafurahia tu sio ?
Utakuta nao wamo humu kulalamikia uhuni unaoendelea,kwani ni watumwa wa kakikundi fulani.
 
Hii nchi ina udhalimu mkubwa sana, naamini itafika mwisho wake, itafika hatua watanzania watachoka kwa kila kitu kinachoendelea katika nchi hii
Hiyo siku haifikagi hapa bongo usijidanganye...
kula beer
 
Anza sasa kukinukisha utaungwa mkono, watu wanasubili wa kuanzisha, sasa anza ili watu wafuatie.
Ukiona vigumu kuanza ujue na mwenzako nae anaona vigumu kuanza.
Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.
 
Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.
Tunasubili kukuona, ila umesogeza miezi mbali sana nadhani utakua umesahau.
😁😁😁😁
 
1626517890883.png

kumbe walizuiwa kwa kuwa hawakutoa taarifa hao ni wahalifu tu kama wahalifu wengine wakae ndani mpaka jumatatu watoke na mimba
 
Wanini uraiani hao wapuuzi,badala waiombee amani wao wanahimiza fujo.
Weka ndani kesi ya uhujumu uchumi tuwasahau kidogo,pumbavu sana
 
Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Hamna ubavu huo, hivi, umefatilia habari za South Africa karibuni? Wamesimamisha kila kitu kwa mda! Lakini serikali ilipo amua kweli, kiko wapi? Sembuse nyinyi ambao mko wachache, mtaweza? Mtapigwa kama mbwa koko.
 
Back
Top Bottom