Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Ndugu, Siasa ni maisha, huoni hao wabunge wa mataga wanavyojipitishia sheria za hovyohovyo sasa hivi ?, makato ya huduma za simu wewe unafurahia tu sio ?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu, Siasa ni maisha, huoni hao wabunge wa mataga wanavyojipitishia sheria za hovyohovyo sasa hivi ?, makato ya huduma za simu wewe unafurahia tu sio ?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Hakuna ambaye hatakufaMara ya mwisho walipomkamata Baba Askofu tulizika kichaa
Anza sasa kukinukisha utaungwa mkono, watu wanasubili wa kuanzisha, sasa anza ili watu wafuatie.Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Utakuta nao wamo humu kulalamikia uhuni unaoendelea,kwani ni watumwa wa kakikundi fulani.Ndugu, Siasa ni maisha, huoni hao wabunge wa mataga wanavyojipitishia sheria za hovyohovyo sasa hivi ?, makato ya huduma za simu wewe unafurahia tu sio ?
Hiyo siku haifikagi hapa bongo usijidanganye...Hii nchi ina udhalimu mkubwa sana, naamini itafika mwisho wake, itafika hatua watanzania watachoka kwa kila kitu kinachoendelea katika nchi hii
Walielewa since, ndio maana wanaendelea na mambo mengine wakisubiri muda muafaka.Wewe unayo waelimishe wenzio mlio na akili na mirengo inayofanana mtaelewana.
Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.Anza sasa kukinukisha utaungwa mkono, watu wanasubili wa kuanzisha, sasa anza ili watu wafuatie.
Ukiona vigumu kuanza ujue na mwenzako nae anaona vigumu kuanza.
😁😁😁😁😁Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.
Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.
nyie ndio wale hamkatwi tozo?Kusema tu haiwezi kusaidia. Ingia barabarani Mkuu.
Tuna bando la kutosha, kupush hashtags.
Si nimesikia lilikuwa limezuiliwa na jeshi la Polisi?
Tunasubili kukuona, ila umesogeza miezi mbali sana nadhani utakua umesahau.Embu subiri, baada ya muda ndani ya miezi sita. Mambo yakiendelea hivi hata pekee yangu niko tayari kuanza.
Bila shurti
Kwani yeye yuko huruShetani hana rafiki, endelea kuchekelea uovu, zamu yako itafika
Mimi nimeshamwambia mama afungue akaunti bank. Sina muda wa kukomalia kitu ambacho siwezi kukibadili mwenyewe.nyie ndio wale hamkatwi tozo?
Tutii sheria..
Nikisahau maana yake mambo yanaenda poa.Tunasubili kukuona, ila umesogeza miezi mbali sana nadhani utakua umesahau.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tii sheria ya mamako ambayo haitoi haki sawa kwa wanafamilia? Tutaanza kumwombea kifo na huyu. Mungu wetu anasikiliza maombi.
Hamna ubavu huo, hivi, umefatilia habari za South Africa karibuni? Wamesimamisha kila kitu kwa mda! Lakini serikali ilipo amua kweli, kiko wapi? Sembuse nyinyi ambao mko wachache, mtaweza? Mtapigwa kama mbwa koko.Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]