avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Huyo jamaa hilo kanisa lake analosimamia saa ngapi?
Tatizo mtu anajiita askofu huku anafamilia mnalichafua kanisa la asili ambalo sheria ziliwashinda mkajitoa..
Ona sasa hata dressings code yakanisa hamjui kuwa inaendana na vipindi saa.zote ameulambia hayo mannguo ya kwaresma
Watu wa mataifa wakimwona wanajumuisha na wakristu wakati matendo ya kikristu sii hayo
Tatizo mtu anajiita askofu huku anafamilia mnalichafua kanisa la asili ambalo sheria ziliwashinda mkajitoa..
Ona sasa hata dressings code yakanisa hamjui kuwa inaendana na vipindi saa.zote ameulambia hayo mannguo ya kwaresma
Watu wa mataifa wakimwona wanajumuisha na wakristu wakati matendo ya kikristu sii hayo