Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwahiyo unamuonea wivu yeye kupakuliwa?Kwanza unafahamika kwa kupakuliwa samadi kila mara! Sijui unafundisha nini watoto wako!
Nenda na wewe ukapakuliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unamuonea wivu yeye kupakuliwa?Kwanza unafahamika kwa kupakuliwa samadi kila mara! Sijui unafundisha nini watoto wako!
Ndio pachafuke. Ili tuelewane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mama anaupiga mwingi ee?shetani jiwe ndio kasababisha yote haya.
Tuko pamoja Kamanda [emoji3577]Tukutane posta j3
kama gwajimaUaskofu umekuwa uanasiasa
Upumbafu huoNaomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Safi sana!!!!
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Halafu wamewakamatia siku ambayo hawawezi kupewa dhamana
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Ni sehemu ya kazi yao ndiyo maana hata hao wanasiasa ni waumini wao. Usiwe jinga kupitiliza Kama status yako.Uaskofu umekuwa uanasiasa
We falah kweli. .....twitter ndio niniHaya faster, twende Twitter kupush hashtags.
#FreeLwaitama
#FreeMwamakula 🤣🤣
Nenda kaulize polisi. ..don't waste your timeKutoka kifungu gani, ibara ya ngapi?
Gwajima amefunga kanisa?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Ni mbungeGwajima anafanya nini siku hizi?
Sina wivu naye ila wewe ukihitaji nitakupakua hiyo samadi yako!Kwahiyo unamuonea wivu yeye kupakuliwa?
Nenda na wewe ukapakuliwe
mwingi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mama anaupiga mwingi ee?
Mbunge...mwanasiasa sio?Ni mbunge
Wanasaisa ndo wanaamua maisha yako na ya askofuUaskofu umekuwa uanasiasa
Sasa mtu anajiita jinga lao tutegemee awe na akili njema?Wanasaisa ndo wanaamua maisha yako na ya askofu
Thubutu uone...Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]