Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm readyThubutu uone...
Usilete u mong'oo huku jf nenda front line uone unavyokua wa mfano.I'm ready
Mimi nawareport [emoji58][emoji112]
Sawa, Subiri kufurahishwaUsilete u mong'oo huku jf nenda front line uone unavyokua wa mfano.
Tanzania nitakulinda mpaka kufa...[emoji110]
DuhUtakuwa unapoteza wakati wako. Hizi ndio lugha za JF ya siku hizi.
Amandla...
Haya, tukubaliane askofu amekosea. Vipi kuhusu Twaha Mwaipaya na Dr Azavael Lwaitama?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Sio kweli.Nakwambia hivi.
1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji.
2. Kama hauhitaji ulinzi wa polisi, hususan kama hautumii public grounds, anaendelea na mkutano. Hahitaji kutoa taarifa polisi. Hii ni haki yake ya kikatiba.
3. Kama anahitaji ulinzi wa polisi, anahitaji kutoa taarifa polisi.
Sasa mtu akiishia namba mbili hapo juu, polisi wanaingiaje hapo?
Unataka kusema nini au unaamanisha kua wanataka kumuonea nani!?Mbona wakati wa magu hawakudhubutu
Mahubiri ni sehemu yeyoteWakahubili kanisani
Wapinzani fanyeni siasa kwenye majimbo yenu. Wenzenu CCM wanapita kwenye sehemu zao za kiutawalaHakika siasa za Tanzania ni za kustabisha sana. Rais samia alitangaza kuwa mikutano ya hadhara bado ni marufuku isipo kuwa mikutano ya ndani.Ccm ambacho ni chama cha rais samia viongozi wake wamekuwa wanazunguka nchi nzima wakifanya hiyo mikutano ya hadhara iliyokatwaza lakini hatuoni polisi kuwakamata zaidi ya kuwalinda. Chadema wametii agizo la rais samia na kuamua kufanya mikutano ya ndani.
Leo huko Mwanza rpc amewazuia kufanya mkutano wa ndani na kuwakamata mkutano ambao ndio ulio ruhusiwa na rais samia.
Tunaiomba serikali itende haki kwa vyama vyote na jeshi la polisi liache kusababisha uvunjifu wa amani kwa wananchi usio na sababu kwani mkutano wa ndani ungesababisha nini?
Shaka katibu wa uenezi wa ccm akihutubia wananchi huko rukwa katika mkutano wa hadhara mikutano iliyozuiliwa lakini polisi walimlinda badala ya kumkamata.
View attachment 1856804
Nawahurumia polisi ambao wanafanyishwa mambo kama punda. Hawajui msaada wao ni nani wala hawajui mbaya wao ni nani.
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
![]()
![]()
Vipi mama anaupiga mwingi ee?![]()
Ushauri kwenu Chadema.....
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Nawahurumia polisi ambao wanafanyishwa mambo kama punda. Hawajui msaada wao ni nani wala hawa mtesi wao ni nani
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Anatunga sheria za tozoGwajima anafanya nini siku hizi?
Tupe mrejesho wa askofu Desmond Tutu.Uaskofu umekuwa uanasiasa
Kusema nyuma ya keyboard ni raisi sana mwana,Mziki kuja front,hata Kiduku wa Ubelgiji hawezi anaogopa,anajua kipigo cha Mbwa kokoo kitamuhusu!!Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Sasa hivi. WatafurahishwaKusema nyuma ya keyboard ni raisi sana mwana,Mziki kuja front,hata Kiduku wa Ubelgiji hawezi anaogopa,anajua kipigo cha Mbwa kokoo kitamuhusu!!