Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Nakwambia hivi.

1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji.

2. Kama hauhitaji ulinzi wa polisi, hususan kama hautumii public grounds, anaendelea na mkutano. Hahitaji kutoa taarifa polisi. Hii ni haki yake ya kikatiba.

3. Kama anahitaji ulinzi wa polisi, anahitaji kutoa taarifa polisi.

Sasa mtu akiishia namba mbili hapo juu, polisi wanaingiaje hapo?
Sio kweli.
Na sio straight hivyo.
Inaweza ikawa haki ya kikatiba lakini haiko wazi na jumla jumla. Katiba ni sheria mama lakini zipo taratibu na kanuni zinazoendesha sheria hizo.
Wakati wewe unaona ni mkutano wa ndani na hivyo huhitaji kibali wala ulinzi wa polisi, polisi nao wanakuja na hoja kuwa kazi yetu ni kulinda raia na mali zao, wanawezaje kupata uhakika kuwa mkutano huo hauna athari kwa watu wengine wasiohusika na mkutano (au/hasa maandamano) huo? Wao sasa kutumia hoja hiyo wana rule out haki unayosema huhitaji ulinzi kwa sababu hautakuwa peke yako mtakuwa wengi na huna namna ya kuwathibitishia huhitaji ulinzi ambao ni kazi yao ya msingi maana ulinzi wanaotoa ni wajibu wao na sio kwa kuangalia raia anahitaji au hahitaji maana usalama unaanza na mtu, kikundi, mtaa mpaka inafika unaitwa usalama wa taifa. Ni mawazo tofauti tu.
 
Mbona wakati wa magu hawakudhubutu
Unataka kusema nini au unaamanisha kua wanataka kumuonea nani!?
Hata asipokuwepo bado kivuli chake kitaendelea kuwepo na kutuongoza kwa muda mrefu
Mfano zuio la mukutano kama hii lilizuiliwa na huyoo
Sasa huyu wa sasa hajataka hata kuliondoa
Hii ina maana kua bado tunaongozwa na kivuli cha magu!
 
Hakika siasa za Tanzania ni za kustabisha sana. Rais samia alitangaza kuwa mikutano ya hadhara bado ni marufuku isipo kuwa mikutano ya ndani.Ccm ambacho ni chama cha rais samia viongozi wake wamekuwa wanazunguka nchi nzima wakifanya hiyo mikutano ya hadhara iliyokatwaza lakini hatuoni polisi kuwakamata zaidi ya kuwalinda. Chadema wametii agizo la rais samia na kuamua kufanya mikutano ya ndani.

Leo huko Mwanza rpc amewazuia kufanya mkutano wa ndani na kuwakamata mkutano ambao ndio ulio ruhusiwa na rais samia.

Tunaiomba serikali itende haki kwa vyama vyote na jeshi la polisi liache kusababisha uvunjifu wa amani kwa wananchi usio na sababu kwani mkutano wa ndani ungesababisha nini?

Shaka katibu wa uenezi wa ccm akihutubia wananchi huko rukwa katika mkutano wa hadhara mikutano iliyozuiliwa lakini polisi walimlinda badala ya kumkamata.

View attachment 1856804
Wapinzani fanyeni siasa kwenye majimbo yenu. Wenzenu CCM wanapita kwenye sehemu zao za kiutawala
Chadema nendeni Nkasi Kaskazini
Cuf nendeni Mtwara Vijijini
ACT nendeni Zanizibar
 
🤣🤣🤣🤣 atawale miaka 300
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Vipi mama anaupiga mwingi ee?
 

Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya

Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya

Pia soma
Ushauri kwenu Chadema.....
Mkikumbuka wakati wa kudai uhuru Radio vipeperushi vilitumika sana
Kwa nini msiwekeze nguvu kwenye kuwa na Radio na Television kufikisha ujumbe kwa hata walioko vijijini. Mfano mkiweka kituo Busia ya pande ya Kenya Kaskazini wote watasikia (huu ni mfano mmoja) wekeni vituo mipakani hizi kongamano mikutano muwe mmedhamiria kweli kweli kama mbwai na iwe mmbwai. Hili la kuita vyombo vya habari mnawapotezea watu muda.
Amueni
Hili la Leo basi mjue kila mtakapoenda hali ya kamata kamata itawakumba

Tumieni RADIO na SOCIAL MEDIA Kufanya mikutano otherwise MAANDAMANO ni MUHIMU
VITUO vya Radio msiweke mjini wekeni mipakani
 

Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya

Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya

Pia soma
Nawahurumia polisi ambao wanafanyishwa mambo kama punda. Hawajui msaada wao ni nani wala hawa mtesi wao ni nani
Gwajima anafanya nini siku hizi?
Anatunga sheria za tozo
Kwani hujakutana na matokeo mkuu?
 
Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Kusema nyuma ya keyboard ni raisi sana mwana,Mziki kuja front,hata Kiduku wa Ubelgiji hawezi anaogopa,anajua kipigo cha Mbwa kokoo kitamuhusu!!
 
Back
Top Bottom