Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,385
Mbona Askofu Desmond Tutu alipopigania haki Afrika ya Kusini hamkusema hivyo? Abel Muzorowa pia alikuwa na ruhusa ya kuzungumza na kupigania haki huko South Rhodesia ya Ian Smith.Uaskofu umekuwa uanasiasa
Angalau Makaburu waliruhusu Maaskofu kuzungumzia upatikanaji a katiba mpya isiyotenga watu. Serikali ya CCM inaogopa hata kongamano tu? Shame on them.