haki gani unayoidai wewe mburula ukiambiwa hebu nitajie haki ambayo huipati sasa unayoidai kama huji hata unachokidai kakojoe ukalale mapemaaaa tuache wanaume tujadiriMbowe yuko Tayari. Nitamuunga mkono.
Na kipindi hicho nilikuwa mjinga kama wewe, sasa nimeelimika. Karibu tudai haki yetu. [emoji58]